mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Watu watano wamefariki na wengine 14 wamejeruhiwa baada ya gari la abiria lililokuwa likitokea kwenye sherehe ya harusi eneo la Makanda wilayani Manyoni mkoani Singida kuelekea Bahi mkoani Dodoma kugongana na Trekta.