Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Gazeti la Nipashe linatuhabarisha ya kuwa watuhumiwa watano kwenye kesi ya wizi wa kutumia nguvu katika Benki ya NMB wameachiwa huru kwa kile kinachosemekana kukosekana kwa ushahidi.......................
Hii ni aibu nyingine kwa polisi ambao siku za hivi karibuni wamekuwa wakishindwa kesi moja baada ya nyingine kutokana na ushahidi hafifu au uchunguzi usio kuwa wa makini......................Kesi kama za akina Abdallah Zombe na nyinginezo nyingi za wizi kwenye mabenki yetu zimekuwa zikiishia kwa watuhumiwa kuachiwa huru.............
Hakuna chombo ambacho hutathmini utendaji wa polisi na hivyo kufanya kazi kulingana na matashi yao binafsi tu............
Hii ni aibu nyingine kwa polisi ambao siku za hivi karibuni wamekuwa wakishindwa kesi moja baada ya nyingine kutokana na ushahidi hafifu au uchunguzi usio kuwa wa makini......................Kesi kama za akina Abdallah Zombe na nyinginezo nyingi za wizi kwenye mabenki yetu zimekuwa zikiishia kwa watuhumiwa kuachiwa huru.............
Hakuna chombo ambacho hutathmini utendaji wa polisi na hivyo kufanya kazi kulingana na matashi yao binafsi tu............