mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Napenda conclusion za wabongo! Yaani kwa kuwa mtu aliuawa akiwa demu basi chanzo ni mapenzi tu!
Na polisi wamefurahi. wanajua itakuwa rahisi kuficha chanzo halisi cha tukio hilo.
Si ajabu jeshi lingeingia kwenye kashfa kubwa ingebainika kuwa Barlow na wakubwa wengine polisi wanahusika na ujambazi au uuzaji na uingizaji wa silaha.
Hapo ni mwanza, kumbukeni Darwin Nightmare!
Na polisi wamefurahi. wanajua itakuwa rahisi kuficha chanzo halisi cha tukio hilo.
Si ajabu jeshi lingeingia kwenye kashfa kubwa ingebainika kuwa Barlow na wakubwa wengine polisi wanahusika na ujambazi au uuzaji na uingizaji wa silaha.
Hapo ni mwanza, kumbukeni Darwin Nightmare!