4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,978
- 6,782
Kwanza tupeane pole ya msiba,KWA maana marehem alikua kiongonzi wetu wote kama Rais, that's jana nimeshinda kwenye tv mpaka macho yanauma ili kushudia safari yake ya mwisho,hivyo ni wazi mh jpm(Rip) Chama chake ilikua posta kwake ila barua ilikua ni ya wazi KWA watanzania wote.
Mada husika ni pamoja na kuwashauri, ndugu zetu na watani zetu wa kisiasa, kwamba zipo nafasi ndani ya chama chenu zipo wazi mfano katibu mkuu wa chama,tafadhali sikiliza lipo jembe moja lilikua moja ya watia nia mwaka 2015 kupitia chama chenu,mtasema mengi binafsi KWA nafasi hii, pamoja na kebehi, propaganda wa uroho wa madaraka ndani ya chama chenu anawafaeni hasa tunapoelekea kuwa na vyama imara vya kupangua hoja bila kutumia manguvu ,na Hili laja Wala hakuna wa kulizuia ,asema bwana,
Jembe lenyewe ni lile kutoka familia na mtoto, wa MWALIM J.K.NYERERE, iko wazi kwamba mwaka 2015 alikua moja ya watia nia ya uris pitia CCM.
Hakuna binadam asie namapungufu ila KWA nafasi tajwa hapo juu mazuri wenda yakazidi mapungufu, yule bwana yuko smart, akitoa maneno utacheka hata Kama ulikua umenuna,japo hicho sio kigezo Cha msingi ila vipo vigezo naviona kwake Mara dufu
CCM mna watu bomba Sana ila hamtaki kuwatumia, sijui tatizo ni umimi uliowajaa vichwani?
KAMA MWANACHAMA MPYA WA CHADEMA TANGU MWAKA JANA MWISHONI ,CHUKUA USHAURI HUU FREE SIKU NYINGINE MTATAKIWA KULIPA, CHA BULE MJINI NI SALAAM
Pamoja katika kulijenga taifa
Mada husika ni pamoja na kuwashauri, ndugu zetu na watani zetu wa kisiasa, kwamba zipo nafasi ndani ya chama chenu zipo wazi mfano katibu mkuu wa chama,tafadhali sikiliza lipo jembe moja lilikua moja ya watia nia mwaka 2015 kupitia chama chenu,mtasema mengi binafsi KWA nafasi hii, pamoja na kebehi, propaganda wa uroho wa madaraka ndani ya chama chenu anawafaeni hasa tunapoelekea kuwa na vyama imara vya kupangua hoja bila kutumia manguvu ,na Hili laja Wala hakuna wa kulizuia ,asema bwana,
Jembe lenyewe ni lile kutoka familia na mtoto, wa MWALIM J.K.NYERERE, iko wazi kwamba mwaka 2015 alikua moja ya watia nia ya uris pitia CCM.
Hakuna binadam asie namapungufu ila KWA nafasi tajwa hapo juu mazuri wenda yakazidi mapungufu, yule bwana yuko smart, akitoa maneno utacheka hata Kama ulikua umenuna,japo hicho sio kigezo Cha msingi ila vipo vigezo naviona kwake Mara dufu
CCM mna watu bomba Sana ila hamtaki kuwatumia, sijui tatizo ni umimi uliowajaa vichwani?
KAMA MWANACHAMA MPYA WA CHADEMA TANGU MWAKA JANA MWISHONI ,CHUKUA USHAURI HUU FREE SIKU NYINGINE MTATAKIWA KULIPA, CHA BULE MJINI NI SALAAM
Pamoja katika kulijenga taifa