Watangazi wa kipindi michezo Radio uhuru ni mapenzi ya timu au ni kudhani Yanga ni timu ya Chama, na Simba kuona ni Wapinzani

Nahonyo

JF-Expert Member
Dec 28, 2012
5,374
5,011
Hii Radio ya Chama tulitegemea itangaze kwa kuwaunganisha wananchi, badala ya yake yenyewe inawagawa watu.

Watangazaji hawa kipindi cha cha michezo siku zote ni kuishambulia Simba, na wala hawaonyeshi kusimama katikati.

Kwa mfano sasa hivi kuna fukuto la Kilomoni na Club, Watangazaji wote wa kipindi cha michezo wako nyuma yake wao ndiyo wanamsemea, kisichoeleweka kwenye maelezo ya mzee kilomoni wao ndiyo huweka sawa.

Watangazaji wa kipindi hiki wamefikia kuita mashabiki wa Simba mabwege, msikilizaji anawaambia huko ni kukosea watu heshima, wakajibu eti neno bwege, sio tusi mbona kuna mtu anaitwa bwege.

Lakini Watangazaji hawa kwa kutanguliza mapenzi na chuki, wana dhubutu kuita hadhira mabegwe Tena bila kujali kuwa ile radio ya chama, moja ya madhumuni ya uwepo wake ni pamoja kuwaunganisha Watanzania.

Watangazaji radio Uhuru: mpira hauna Siasa, msiingize siasa kwenye mpira mtaiua Nchi, Pamoja na mapenzi yenu binafsi kwa Club nyingine, nyie kama chombo cha habari, msishike silaha kuongoza mapambano, Bali mkae kati kuzima moto Usiwake.

Radio Nyie ni dira kuliko mnavyodhani, pima madhara ya mnachokisema.
 
Hii Radio ya Chama tulitegemea itangaze kwa kuwaunganisha wananchi, badala ya yake yenyewe inawagawa watu.

Watangazaji hawa kipindi cha cha michezo siku zote ni kuishambulia Simba, na wala hawaonyeshi kusimama katikati.

Kwa mfano sasa hivi kuna fukuto la Kilomoni na Club, Watangazaji wote wa kipindi cha michezo wako nyuma yake wao ndiyo wanamsemea, kisichoeleweka kwenye maelezo ya mzee kilomoni wao ndiyo huweka sawa.

Watangazaji wa kipindi hiki wamefikia kuita mashabiki wa Simba mabwege, msikilizaji anawaambia huko ni kukosea watu heshima, wakajibu eti neno bwege, sio tusi mbona kuna mtu anaitwa bwege.

Lakini Watangazaji hawa kwa kutanguliza mapenzi na chuki, wana dhubutu kuita hadhira mabegwe Tena bila kujali kuwa ile radio ya chama, moja ya madhumuni ya uwepo wake ni pamoja kuwaunganisha Watanzania.

Watangazaji radio Uhuru: mpira hauna Siasa, msiingize siasa kwenye mpira mtaiua Nchi, Pamoja na mapenzi yenu binafsi kwa Club nyingine, nyie kama chombo cha habari, msishike silaha kuongoza mapambano, Bali mkae kati kuzima moto Usiwake.

Radio Nyie ni dira kuliko mnavyodhani, pima madhara ya mnachokisema.
Mkuu ili usiumie achana nao
 
Maendeleo ya michezo yanategemea kwa asilimia 95% wadau wa michezo huku watangazaji wa michezo (media) wakichangia zaidi ya 50% ya mafanikio hayo. Na hapo ndipo mkwamo wetu unapoanzia tatizo kubwa likiwa uelewa mdogo wa wadau hao!
Ngoja tuisubiri stars ichukue kombe la afcon kwanza au ifike fainali then tutakutana hapa kuvuna tunachopanda.
 
Hii Radio ya Chama tulitegemea itangaze kwa kuwaunganisha wananchi, badala ya yake yenyewe inawagawa watu.

Watangazaji hawa kipindi cha cha michezo siku zote ni kuishambulia Simba, na wala hawaonyeshi kusimama katikati.

Kwa mfano sasa hivi kuna fukuto la Kilomoni na Club, Watangazaji wote wa kipindi cha michezo wako nyuma yake wao ndiyo wanamsemea, kisichoeleweka kwenye maelezo ya mzee kilomoni wao ndiyo huweka sawa.

Watangazaji wa kipindi hiki wamefikia kuita mashabiki wa Simba mabwege, msikilizaji anawaambia huko ni kukosea watu heshima, wakajibu eti neno bwege, sio tusi mbona kuna mtu anaitwa bwege.

Lakini Watangazaji hawa kwa kutanguliza mapenzi na chuki, wana dhubutu kuita hadhira mabegwe Tena bila kujali kuwa ile radio ya chama, moja ya madhumuni ya uwepo wake ni pamoja kuwaunganisha Watanzania.

Watangazaji radio Uhuru: mpira hauna Siasa, msiingize siasa kwenye mpira mtaiua Nchi, Pamoja na mapenzi yenu binafsi kwa Club nyingine, nyie kama chombo cha habari, msishike silaha kuongoza mapambano, Bali mkae kati kuzima moto Usiwake.

Radio Nyie ni dira kuliko mnavyodhani, pima madhara ya mnachokisema.
Mkuu kwani lazima usikilize radio hiyo? Au umepewa lift mwenye gari ametune uhuru?
 
Hii Radio ya Chama tulitegemea itangaze kwa kuwaunganisha wananchi, badala ya yake yenyewe inawagawa watu.
Watangazaji hawa kipindi cha cha michezo siku zote ni kuishambulia Simba, na wala hawaonyeshi kusimama katikati.
Kwa mfano sasa hivi kuna fukuto la Kilomoni na Club, Watangazaji wote wa kipindi cha michezo wako nyuma yake wao ndiyo wanamsemea, kisichoeleweka kwenye maelezo ya mzee kilomoni wao ndiyo huweka sawa.
Watangazaji wa kipindi hiki wamefikia kuita mashabiki wa Simba mabwege, msikilizaji anawaambia huko ni kukosea watu heshima, wakajibu eti neno bwege, sio tusi mbona kuna mtu anaitwa bwege.
Lakini Watangazaji hawa kwa kutanguliza mapenzi na chuki, wana dhubutu kuita hadhira mabegwe Tena bila kujali kuwa ile radio ya chama, moja ya madhumuni ya uwepo wake ni pamoja kuwaunganisha Watanzania.
Watangazaji radio Uhuru: mpira hauna Siasa, msiingize siasa kwenye mpira mtaiua Nchi, Pamoja na mapenzi yenu binafsi kwa Club nyingine, nyie kama chombo cha habari, msishike silaha kuongoza mapambano, Bali mkae kati kuzima moto Usiwake.
Radio Nyie ni dira kuliko mnavyodhani, pima madhara ya mnachokisema.
Radio CLOUDS FM na wao kazi yao kutukana na kuikashifu YANGA,so usilie wapo akina SHAFI DAUDA na wenzake kwa kazi kama hiyo sijakusikia ukilia!
 
Kila mtu analia na machungu anayohisi mkuu, kama linakuumiza una haki ya kuandika, na kama wanapita waone kama watajirekebisha wajirekebishe. Tabia za Cluod hazinizui mimi kutoa maoni yangu, eti tu kwa sababu kuna redio nyingine inafanya hivyo timu nyingine.
Radio CLOUDS FM na wao kazi yao kutukana na kuikashifu YANGA,so usilie wapo akina SHAFI DAUDA na wenzake kwa kazi kama hiyo sijakusikia ukilia!
 
Kuna redio inaitwa hivyo? Ndo kwanza naisikia, watakuwa wanalishwa sumu na adui namba moja wa watanzania!
 
Wapi nilipoandika nalazimika kusikiliza radio hiyo. Nisingesikiliza ningejuaje haya. Uhuru wa kutoa maoni hainifungi kutokana na kile ninacho ninachosikia toka radio hiyo.

Vyombo vya habari ni wadau pia wa kuendeleza michezo, usidhani kila mtangazaji ana utashi juu ya dhamana alionayo ndani ya nyanja ya habari, Kujenga ama kubomoa.

Mkuu kwani lazima usikilize radio hiyo? Au umepewa lift mwenye gari ametune uhuru?
 
Wapi nilipoandika nalazimika kusikiliza radio hiyo. Nisingesikiliza ningejuaje haya. Uhuru wa kutoa maoni hainifungi kutokana na kile ninacho ninachosikia toka radio hiyo.

Vyombo vya habari ni wadau pia wa kuendeleza michezo, usidhani kila mtangazaji ana utashi juu ya dhamana alionayo ndani ya nyanja ya habari, Kujenga ama kubomoa.
Sasa umejuaje?
 
Hii Radio ya Chama tulitegemea itangaze kwa kuwaunganisha wananchi, badala ya yake yenyewe inawagawa watu.

Watangazaji hawa kipindi cha cha michezo siku zote ni kuishambulia Simba, na wala hawaonyeshi kusimama katikati.

Kwa mfano sasa hivi kuna fukuto la Kilomoni na Club, Watangazaji wote wa kipindi cha michezo wako nyuma yake wao ndiyo wanamsemea, kisichoeleweka kwenye maelezo ya mzee kilomoni wao ndiyo huweka sawa.

Watangazaji wa kipindi hiki wamefikia kuita mashabiki wa Simba mabwege, msikilizaji anawaambia huko ni kukosea watu heshima, wakajibu eti neno bwege, sio tusi mbona kuna mtu anaitwa bwege.

Lakini Watangazaji hawa kwa kutanguliza mapenzi na chuki, wana dhubutu kuita hadhira mabegwe Tena bila kujali kuwa ile radio ya chama, moja ya madhumuni ya uwepo wake ni pamoja kuwaunganisha Watanzania.

Watangazaji radio Uhuru: mpira hauna Siasa, msiingize siasa kwenye mpira mtaiua Nchi, Pamoja na mapenzi yenu binafsi kwa Club nyingine, nyie kama chombo cha habari, msishike silaha kuongoza mapambano, Bali mkae kati kuzima moto Usiwake.

Radio Nyie ni dira kuliko mnavyodhani, pima madhara ya mnachokisema.
Radio nyingine kuzisikiliza ni kujitia nuksi tuu. Kuna wakati nilikuwa addicted na Morning Magic ya Magic FM Ila Toka sikuile ilipotangazwa rasmi ni Mali ya chama.... ikawa ndio mwisho wa kuisikiliza sawa na TBC, Radio Uhuru, as well as Channel Ten
 
Back
Top Bottom