Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Masako na Gondwe kama hamuwezi kutuletea habari za matokeo ya uchaguzi ni bora mkaacha.
Kwa nini mnang'ang'ani kusema Kikwete anaongoza akifuatiwa na Lipumba wakati hadi sasa Lipumba ana 9% na Slaa ana 20% ya kura zote, mnatufanya hatujaenda shule.
Mara nyingi mmekuwa mkiripoti eti Lipumba ni wa pili kwa vile ameongoza majimbo matano huko Pemba na Slaa ni wa tatu kwa vile ameongoza majimbo mawili bila kuangalia idadi ya kura, hesabu gani hizo, mnahesabu idadi ya vema bila kuangalia vema ina maksi(weight) ngapi utoto wa darasa la pili huo.
Najua mmeelekezwa hivyo ili kuwakatisha tamaa wana chadema lakini muelewe huo ni utumwa wa akili, tunajua NEC wameshachakachua sasa na nyie mnachakachua mara ya pili, waacheni NEC wahangaike na zigo lao msibebe yasiyowahusu.
Ficha Upumbavu wenu; Msiifiche Hekima yenu!
Thank you for supporting JF!
Hadi sasa kura za NEC ziko hivi tuambieni ni nani wa pili, nimesema za NEC makusudi.
Kwa nini mnang'ang'ani kusema Kikwete anaongoza akifuatiwa na Lipumba wakati hadi sasa Lipumba ana 9% na Slaa ana 20% ya kura zote, mnatufanya hatujaenda shule.
Mara nyingi mmekuwa mkiripoti eti Lipumba ni wa pili kwa vile ameongoza majimbo matano huko Pemba na Slaa ni wa tatu kwa vile ameongoza majimbo mawili bila kuangalia idadi ya kura, hesabu gani hizo, mnahesabu idadi ya vema bila kuangalia vema ina maksi(weight) ngapi utoto wa darasa la pili huo.
Najua mmeelekezwa hivyo ili kuwakatisha tamaa wana chadema lakini muelewe huo ni utumwa wa akili, tunajua NEC wameshachakachua sasa na nyie mnachakachua mara ya pili, waacheni NEC wahangaike na zigo lao msibebe yasiyowahusu.
Ficha Upumbavu wenu; Msiifiche Hekima yenu!
Thank you for supporting JF!
Hadi sasa kura za NEC ziko hivi tuambieni ni nani wa pili, nimesema za NEC makusudi.