Watangazaji wetu kwanini hamjifunzi majina/maneno fulani yanatamkwaje?

Boss nimegundua watu wana uelewa mdogo sana. Kuna mpumbavu mwingine eti kafungua thread kujibu nilichoandika.
Duuh nisamehe mzee kwa kujaribu kutoa changamoto tu sikutegemea ungejazibika hivi na kunitusi

Samahani sana kama nimekuudhi kwa mimi kufungua uzi ule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom