Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,344
- 4,167
Duuh nisamehe mzee kwa kujaribu kutoa changamoto tu sikutegemea ungejazibika hivi na kunitusiBoss nimegundua watu wana uelewa mdogo sana. Kuna mpumbavu mwingine eti kafungua thread kujibu nilichoandika.
Samahani sana kama nimekuudhi kwa mimi kufungua uzi ule