Watangazaji wetu kwanini hamjifunzi majina/maneno fulani yanatamkwaje?

RRONDO

JF-Expert Member
Jan 3, 2010
51,719
107,770
Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.

Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u).

Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
 
Sasa kama iliishia form 4 ya div 4 unatagemea huyo ndugu yako atatamkaje hayo maneno na hata kujua vichache tu kuhusu hayo mambo anayoyatangaza??
Chuo chenyewe kasoma Ilala Bungoni au Eagle kwa miezi 6 sasa kuna kipya unakitarajia hapo??
Jana nimemsikia mmoja ktk kipind cha michezo akidai Tottenham wamekiwakisha katika jiji la Ajax walipocheza na Ajax, nikajiuliza anataka kusema walicheza kule Canada ambako katika jiji la Ontario kuna town inaitwa Ajax?
 
Hivi wolves inatankwaje?
Unakuta mtangazaji Kwa kujiamini kabisa anatamka BALE(Kiswahili) badala ya beil. Au Lesesta(Leicester) badala ya kusema leista.
Leo nimemsikia mtangazaji gwiji wa michezo anatamka Brighton HoVE Kiswahili hove. Hii timu inaitwa Brighton & Hove(inatamkwa hov(u). Hii timu ipo mji unaitwa Brighton and Hove City mji uliopatikana Kwa kuunganisha mji wa Brighton na Hove.
 
Majina mengine unajifunza kwa kusikiliza wenye majina yao. Mfano Hughes inatamkwa Hyuz sasa utasikia mtangazaji anatamka hugiz/hagiz/hagez
Hii kitu nimewahi kuiona zaidi ya Mara mbili, Mfano mtangazaji badala ya kutamka "soul" kwa maana Seoul (Mji mkuu wa Korea kusini) mtangazaji anasema "seuli"

Kwa hiyo mkuu uko sahihi mi nadhan wanapaswa kujifunza namna sahihi ya kutamka baadhi ya maneno.
 
Hayo maneno ya maeneo ya ulaya na ugaibuni sio issue sana kwana hata wazungu wenyewe wakija kwetu maeneo yetu yanawashinda kutamka kinachoniudhi ni wale wanaoshindwa kutofautisha kati ya herufi L na R kwenye magari mathalani atatamka magali
 

Similar Discussions

22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom