KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Hawa watangazaji wa Radio free Africa wanaongelea siasa wakati siasa hawaijui Kuna mtu anajiita Denis na David kifupi nyie ni mburura wa siasa, mumeshindwa kufahamu chama tawala na vyama visivyokuwa na madaraka..huwezi kuviambia vyama visivyokuwa madarakani visifanye siasa maana kwakuwa chama tawala kinafanya siasa mda wote hapana mgawanyo kati ya serikali na chama.
Sasa hawa wakikurupuka nataifa litakurupuka hawa ndiyo watangaziji wetu leo.Ila kwakuwa RFA ni tawi la CCM sishangai.
Sasa hawa wakikurupuka nataifa litakurupuka hawa ndiyo watangaziji wetu leo.Ila kwakuwa RFA ni tawi la CCM sishangai.