Hasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu tumekuwa tukisikia Kiswahili kibovu kikitumiwa na baadhi ya watangazaji wa ITV na hasa matumizi ya neno "Lakini". Kwa mfano, mmoja wao alisema: "...Watazamaji na wasikilizaji wetu mnaojiunga sasa na ITV, Radio One Stereo 'lakini' Capital Radio...."
Sasa hapo neno "lakini" linaingiaje?
Sasa hapo neno "lakini" linaingiaje?