shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,896
Hoja muulize Hassan Ngoma Uzalendo ni kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya Bunge? Uzalendo ni kuwabambikia kesi kuwapiga Risasi Wapinzani? Uzalendo ni kutafuna trilion 1.5 kisha kumtisha CAG? Uzalendo ni kuwaita boss za Barrick wanaume kisa wameenda ikulu kutoa ahadi feki? Uzalendo ni kuwaita wazungu mabeberu pindi wakiongea na Wapinzani? Lazima wakiongea na CCM huitwa wafadhili na Nchi rafikiNanyi mnapaswa kujibu mashambulizi kwa kujenga hoja!
Afilie mbali tu yuleNilitaka kumchangia Ruge lakini kwa hili nimeghaili
Shida ya Ruge ni kada kindakindaki wa chinichini wa ccm, na asingeweza kuweka program hiyo ya kumbeba Lissu. Si unaona hadi alichangiwa million 50 na Magu.Kila nikikukumbuka kipindi kampeni ya kumchangia Lissu hiki kituo pendwa kilivyokuwa busy na Mambo yake utadhan hakikuwa kinajua kinachoendelea najikuta napata shida kumchangia boss wao.....
Mungu ampe uzima Lissu na Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
It is called schengen visa.Stupid people
Lissu ana visa ya kukaa Belgium eti kanyimwa visa ya kwenda Ujerumani.
Ukiwa nyanya kweli ni nyanya kabisa.
Ukiwa na Visa kukaa Belgium inakuruhusu kwenda nchi zote za EU kasoro Uingereza na Ireland.
Ujanja wa siasa za Manzese kuupeleka siasa za Ulaya. Aibu sana
Unashangaa hiyo mi nimesikia palm tree=ufutaKuna mmoja alikua anatafsiri kiingereza kwenda kiswahili kwenye habari za michezo, ule mwili ma mchezaji Sala kuwa ulifanyiwa "post mortem examination" akasema "mwili ulifanyiwa mtihani" you can't believe this!
Mm sipo ilichosema ni hirizi yaho mengine yanahiyaji uthibitisho mm na Mshana jr tuko zaidi kwenye manbo ya mizimu na tumeshTuma Watu wa african insuarence kufanya cou ter attack missilesHassan ngoma alipewa kitu na Le mutuz akamwekea kwenye kinywaji siri ilivuja kitambo huko clouds wote wanajua Sinema yote ikiwemo Hassan ngoma kuhitaji cheo cha Ruge au magufuli amzawadie Katibu Tawala au mkurugenzi au U-DC kajitoa fahamu zote akiwa na lengo la kukwaa uteuzi.
Maana ukifiria kama kweli anahusika na huo ushenzi kwa nn bado anaongea ufala hivyo si ili watu wakasirikeKuna kaukweli hapa
Miladi=MiradiAcha ushamba wako toka kolomije, mwambie aruhusu mikutano ya siasa uone moto wa Wapinzani, hakuna uhuru wa kufanya siasa mnakandamiza demokrasia iweje Wapinzani waonyeshe uwezo wao? Uzalendo ni kutafuna trilion 1.5 kisha kumnyamazisha CAG? Uzalendo ni kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya Bunge? Uzalendo ni kununua ndege kwa bei kubwa kifisadi kula 10% kwenye miladi yote mikubwa? Uzalendo ni kuwabambikia kesi kuwapiga Risasi Wapinzani?
Fukara analipwa mshahara milioni 200 kwa mwaka?!!
Akina nani?
Kipindi wanachopita nikigumu wasijichanganyeWatangazaji wa Clouds tv wamewashambulia vikali wabunge Tundu Antipas Lisu na Zitto Kabwe kwa kubeba ajenda za taifa na kuwapelekea mabwana zao wakoloni huko ulaya.
Wamedai kuwa baada ya Lisu kuichafua nchi huko UK na Marekani na kukwama kwenda German ambako amenyimwa visa sasa amemtuma Zitto akakamilishe misheni hiyo iliyokosa uzalendo.
Waandishi hao Ngoma na Sasali wamewaonya wanasiasa wa Tanzania iwe CCM au wapinzani wasitake kuwalazimisha watanzania wote kuwa wanasiasa kwani kuna watu wengine kwao siasa ni dhambi.
Ijumaa karim
Maendeleo hayana vyama!