Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Halo JF,
Kumekuwa na matumizi mabaya ya neno "Angalau" kunakopigiwa upatu na radio za kimataifa za BBC, DW, VOA nk.
Wenyewe wamehamisha moja kwa moja kutoka lugha ya Kiingereza "Atleast" likimaanisha angalau.
Mfano utasikia watu ANGALAU mia tano wakoseshwa makazi huko Burkina Fasso.
Kiswahili sahihi ni kuwa watu TAKRIBAN mia tano wakoseshwa makazi huko Burkina Fasso.
Kumekuwa na matumizi mabaya ya neno "Angalau" kunakopigiwa upatu na radio za kimataifa za BBC, DW, VOA nk.
Wenyewe wamehamisha moja kwa moja kutoka lugha ya Kiingereza "Atleast" likimaanisha angalau.
Mfano utasikia watu ANGALAU mia tano wakoseshwa makazi huko Burkina Fasso.
Kiswahili sahihi ni kuwa watu TAKRIBAN mia tano wakoseshwa makazi huko Burkina Fasso.