Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,014
Ati wanaita estadio de Mkapa, sijui ni mbwembwe au nini?
Kiswahili kina misamiati mingi, kwann isitumike badala ya kuweka maneno ya kireno?
Mzee kajenga uwanja kwa heshima ya nchi na mpira. Japo hakuwa mtu wa mpira.
Kampeni heshima yake hizo mbwembwe za ESTADIO DE MKAPA ZINAKERA WENGI.
Kiswahili kina misamiati mingi, kwann isitumike badala ya kuweka maneno ya kireno?
Mzee kajenga uwanja kwa heshima ya nchi na mpira. Japo hakuwa mtu wa mpira.
Kampeni heshima yake hizo mbwembwe za ESTADIO DE MKAPA ZINAKERA WENGI.