YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Talk show unachonga sana mdomo na kuongea sana Live show ni kamera tu inaongea kwa kuonyesha tukio mubashara tukio husika zaidi ya asilimia 90.
Lakini msiba wa Magufuli nilichokiona watangazaji wanageuza live show tukio mbashara kuwa talk show yao.
Lakini msiba wa Magufuli nilichokiona watangazaji wanageuza live show tukio mbashara kuwa talk show yao.