Mimi ni mpenzi wa kusikiliza redio Na vichwa vya habari vya magazeti na wanavyojiongeza, lakini naona kuna wakati wanapotosha taarifa yenyewe Kwa kutokuelewa au kuupigia chapuo upande fulani. Mfano ni hili suala la bajeti Na hii kodi ya barabara (road tax) ambayo sasa imewekwa kwenye petrol ili kutotoza Yale Magari yasiyokuwepo barabara.
Sasa kumekuwepo wenye fika kwamba Kwa kuwa tu imewekwa kwenye mafuta basi itaongeza bei ya nauli Na gharama zingine Za Biashara , bila ya kuwa Na jeduwali la gharama Za muhusika ilipokuwa kuwa mwanzo Na sasa hivi ilipowekwa kwenye bei ya mafuta. Na pili bila kuelewa kwamba gharama za uzalishaji ni gharama ambazo zinaruhusiwa kutolewa kabla mtu hajapigwa kodi ya mapato
Kwa faida atakayo pata.
Hata kwenye suala la makaniki Na dhahabu kuna wanaongelea suala la 4% bila kuielewa hiyo royality analipwa nani. Kuna wanaofikiria au kuelezea kana kwamba hiyo ndio serikali kuu inapata wakati ukweli hiyo ni mapato ya halmashauri ilipo hiyo migodi.
Kilichokuwa kinatarajiwa Kwa serikali kuu Kwa mujibu wa mawaziri husika walipo peleka miswaada ya serikali kuachana Na Biashara ni kodi ya mapato Kati ya 30% mpaka 40%.
Hivyo nawaomba waandishi wetu mjaribu kusoma au kufanyia utafiti kitu ili uweze kukielezea vizuri au Kwa ufasaha.
Sasa kumekuwepo wenye fika kwamba Kwa kuwa tu imewekwa kwenye mafuta basi itaongeza bei ya nauli Na gharama zingine Za Biashara , bila ya kuwa Na jeduwali la gharama Za muhusika ilipokuwa kuwa mwanzo Na sasa hivi ilipowekwa kwenye bei ya mafuta. Na pili bila kuelewa kwamba gharama za uzalishaji ni gharama ambazo zinaruhusiwa kutolewa kabla mtu hajapigwa kodi ya mapato
Kwa faida atakayo pata.
Hata kwenye suala la makaniki Na dhahabu kuna wanaongelea suala la 4% bila kuielewa hiyo royality analipwa nani. Kuna wanaofikiria au kuelezea kana kwamba hiyo ndio serikali kuu inapata wakati ukweli hiyo ni mapato ya halmashauri ilipo hiyo migodi.
Kilichokuwa kinatarajiwa Kwa serikali kuu Kwa mujibu wa mawaziri husika walipo peleka miswaada ya serikali kuachana Na Biashara ni kodi ya mapato Kati ya 30% mpaka 40%.
Hivyo nawaomba waandishi wetu mjaribu kusoma au kufanyia utafiti kitu ili uweze kukielezea vizuri au Kwa ufasaha.