GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,462
- 108,617
Yaani tukio la Bernard Morrison Kuvua Bukta yake, kubakia na Chupi ya Njano huku Bukta akiiweka Kichwani mwake linajadiliwa kwa dakika 120 ila tukio la Tonombe Mukoko la Kumpiga Kiwiko kibaya John Boko ambacho kingeweza Kumjeruhi vibaya kwa Kumvunja Pua au Kumng'oa Meno yake au hata Kumsababishia Kifo limejadiliwa kwa dakika 10 tu.
Naelekea kuacha Kusikiliza Vipindi vya Michezo vya Redioni na Wachambuzi wao kwani huko sasa Kumevamiwa na Watu wa 'hovyo hovyo' tupu ambao wamejaa Chuki, Unafiki na Mahaba kwa Timu iliyolaanika na iko katika Mkondo wa Maji Bahari kuelekea Daraja la Salenda kupitia Muhimbili Hospitali.
Naelekea kuacha Kusikiliza Vipindi vya Michezo vya Redioni na Wachambuzi wao kwani huko sasa Kumevamiwa na Watu wa 'hovyo hovyo' tupu ambao wamejaa Chuki, Unafiki na Mahaba kwa Timu iliyolaanika na iko katika Mkondo wa Maji Bahari kuelekea Daraja la Salenda kupitia Muhimbili Hospitali.