KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,853
- 4,852
Mmekuja kutukana wananchi humu
Kosa ni kukumbatia "mumiani" a.k.a ccm! Imejaa vilaza na roho mbaya kuliko ibilisi.Siku ccm ikipigwa chini "ukombozi" utakuwa mlangoni.1. Umasikini uliokithiri (CCM matajiri)
2. Viongozi wabovu (CCM wanarithishana uongozi)
3. Elimu duni (watoto wa wanyonge)
4. Afya mgogoro (vifo vya mama na watoto)
5. Katiba mbovu (ili CCM watawale milele)
6. Rushwa na ufisadi (kinga kutoshitakiwa hata kina Ndungai)
7. Lishe duni na udumavu (uwezo mdogo wa kufikiri)
8. Bunge dhaifu (linatimiza matakwa ya CCM na si Watanzania)
9.
CCm ni shida wanajari tu matumbo yao lkn wana mwisho1. Umasikini uliokithiri (CCM matajiri)
2. Viongozi wabovu (CCM wanarithishana uongozi)
3. Elimu duni (watoto wa wanyonge)
4. Afya mgogoro (vifo vya mama na watoto)
5. Katiba mbovu (ili CCM watawale milele)
6. Rushwa na ufisadi (kinga kutoshitakiwa hata kina Ndungai)
7. Lishe duni na udumavu (uwezo mdogo wa kufikiri)
8. Bunge dhaifu (linatimiza matakwa ya CCM na si Watanzania)
9.
sio ujinga mkuu ni uwezo mdogo tuliojengewa na serikali za ccm kwa nyakati tofauti ili tuwe watumwa ndani ya nchi yetu.Shida siyo CCM wala Serikali, shida ni ujinga wa wananchi.
tunaanzia wapi ndo tatizo hilo tumekwamaMungu katuonyesha njia kwa kumuondoa dhalim aliyekuwa anaipeleka nchi kuzimu,iliyobaki ni sisi wenyewe kujiongeza ili tupate Katiba itokanayo na maoni ya Watanzania.
Tulilishwa ujinga, tukaupokea. Lakini hatutaki kuondokana nao, tumeamua kuuishi na kuutumikia. Tumekuwa wajinga wa kudumu - mjinga wa kudumu huitwa mpumbavu. Mjinga, kuna siku huwa anaelimika.sio ujinga mkuu ni uwezo mdogo tuliojengewa na serikali za ccm kwa nyakati tofauti ili tuwe watumwa ndani ya nchi yetu.
usijitie mjuzi sana wa mambo na utetezi wako uliojaa shombo,sema serikali imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi huku ikijinasibu kuwa ina rasilimali nyingi alafu inashindwa kuzi utilizeNchi zote zilizoendelea, hizo zilizowekeza kwenye SAYANSI NA UVUMBUZI wa kutuletea hizi smart4n ,RAIA WAKE walijifunga/wanajifunga mikanda.
Wanalipa KODI Wanakatwa KODI..tena KODI KUBWAKUBWA.
Utayapataje maendeleo ya nchi kana kwamba ni mvua IMWAGIKAYO kutoka angani?
Hiyo MVUA yenyewe haiji kama UTAKATA MITI HOVYO NA KUHARIBU MAZINGIRA. Hizi "pang'ang'a" za kama wale wanaoandamana kule "bondeni" hazitusaidii.
na akielimika anakuwa hatari sana kwa taifaTulilishwa ujinga, tukaupokea. Lakini hatutaki kuondokana nao, tumeamua kuuishi na kuutumikia. Tumekuwa wajinga wa kudumu - mjinga wa kudumu huitwa mpumbavu. Mjinga, kuna siku huwa anaelimika.
Unashidwa Kufanya kazi unakuja kulaumu ccm.Nchi zote zilizoendelea, hizo zilizowekeza kwenye SAYANSI NA UVUMBUZI wa kutuletea hizi smart4n ,RAIA WAKE walijifunga/wanajifunga mikanda.
Wanalipa KODI Wanakatwa KODI..tena KODI KUBWAKUBWA.
Utayapataje maendeleo ya nchi kana kwamba ni mvua IMWAGIKAYO kutoka angani?
Hiyo MVUA yenyewe haiji kama UTAKATA MITI HOVYO NA KUHARIBU MAZINGIRA. Hizi "pang'ang'a" za kama wale wanaoandamana kule "bondeni" hazitusaidii.
🤣🤣usijitie mjuzi sana wa mambo na utetezi wako uliojaa shombo,sema serikali imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi huku ikijinasibu kuwa ina rasilimali nyingi alafu inashindwa kuzi utilize
Umaskini upo kila nchi hapa duniani. Hata USA na Uingereza kuna homeless people wanalala mitaani kwenye maboksi.
Watu wa DRC wasemaje?? Wa somalia je?Angola??..