Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
- Thread starter
- #21
Hakuna cha muungano wa mkataba wala nini,hapa ifanyike referendum na maamuzi yaheshimiwe! Kama ni kuvunja muungano ndiyo maamuzi yatakayofikiwa basi na uvunjwe tu kwa roho safi!
Lakini wazanzibari watalalamika mpaka lini si bora wawashawishi baraza la mapinduzi wapitishe maamuzi ya kuvunja muungano basi tuone kama kuna mtu atakayewabishia?
Mbaya zaidi hata makamu wa raisi wa Zanzibar nae analalamikia muungano na mawaziri wake sasa sijui nataka wafanye nini wananchi wake...