Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Profesa J na Ney wa Mitego walijitokeza hadharani kuonyesha masikitiko yao na kupinga Roma Mkatoliki Kutekwa Yeye na watu wengine pale Studio, na walipaza sauti zao ili arejeshwe akiwa hai.
Jambo hili lilimfanya aliyekuwa RC wa Dar es Salaam Paulo Makonda kutangaza kwamba Roma atarudishwa kabla ya Jumapili, kauli hii iliwashtua wengi wasijue atarudije na atarudi kutoka wapi, ni kweli kabla ya Jumapili ile Roma akatupwa na kuokotwa na watu wema.
Hoja yangu kwa leo siyo hii, bali ninataka kujua Wasanii wengine wa Tanzania waliopiga kelele na kupinga msanii mwenzao ambaye si Mwanasiasa Roma kutekwa na kutaka aachiwe huru.
Unaweza kuweka majina ya wasanii hao hapa ili tuwatambue
Jambo hili lilimfanya aliyekuwa RC wa Dar es Salaam Paulo Makonda kutangaza kwamba Roma atarudishwa kabla ya Jumapili, kauli hii iliwashtua wengi wasijue atarudije na atarudi kutoka wapi, ni kweli kabla ya Jumapili ile Roma akatupwa na kuokotwa na watu wema.
Hoja yangu kwa leo siyo hii, bali ninataka kujua Wasanii wengine wa Tanzania waliopiga kelele na kupinga msanii mwenzao ambaye si Mwanasiasa Roma kutekwa na kutaka aachiwe huru.
Unaweza kuweka majina ya wasanii hao hapa ili tuwatambue