Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,561
- 217,865
- Thread starter
- #21
Hatujawahi kushauri Wasanii wasimame na vyama vya siasa , sijui kama unaelewa , hoja ni kwamba tunataka Wasanii watetee haki , panapotokea uonevu wakemee , hiyo haijawahi kuwa siasa , angalia hata Davido na wengine duniani , hawanyamazii uonevu .Nyinyi mbona hamkupinga ,Au unamaanisha zile #hashtags zenu?
Hakuna namna ambayo naweza mshauri mtu anaejenga future yake kusimama na upinzani katika nchi kama hii (Tanzania),wao wanataka ujitoe hadharani kupinga ila unapokamatwa hawatoki hadharani kukusaidia,badala yake wakakimbilia mitandaoni kuweka hashtags. Zile hashtags za #Freemdude zilimsaidia nini kijana wawatu aliejiingiza kwenye siasa bila kuwa nguvu yoyote?Familia yake mnaijali kwa lolote?
Watu ambao ni waoga hata ukisema ukalianzishe hawakupi support badala yake wanarudi nyuma.
Kwa tz hii kama una kitu cha kupoteza,ni bora usimame na watawala tu ili mambo yako yanyooke, Watz hawana shukrani, leo utasema usimame kuwatete ila career yako ikiharibiwa kwa urasimu wa Serikali watkucheka.
Na ndio maana tunasema mtu akale alikopeleka mboga .