Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeisha iyoInasemekana Watanzania hawawezi kupata corona kwa mujibu wa serikali yenu. Kuanzia Mei mwaka uliopita, hakuna Mtz aliyepata corona japo Wakenya walio na corona na majirani zenu walio na corona huwa wanakuja kuwatembelea. Hata hawa wazungu baadhi yao lazima wawe na corona ila kwa sababu Watanzania ni watu speshieli walio umbwa na udongo soft kushinda watu wengine basi nyinyi hamuwezi kupata corona kwa hivyo tulia usiogope.
Pole sn inaonekana umezika ndugu zako wengi kwa ugonjwa wa covid 19Wapumbavu tu ndio wanaamini hakuna covid 19 Tanzania
Zanzibar beer, zimeadimika saana. Beer moja ya safari elfu 7. Asee!beer ziongezwe zanzibar