Watalii wanamiminika in the East Africa's Corona free state

eliakeem

JF-Expert Member
May 29, 2009
15,484
13,592
Dunia nzima inajua ukitaka kwenda kutalii bila ya bughudha ya kushurutishwa kuvaa barakoa au mikwala mingine mingi. Dunia inajua kuna nchi moja tu iko mashariki ya Afrika ndiyo haina hayo mafua. Nayo ni Tanzania.

TZ 4.jpeg
TZ 6.jpeg
TZ 7.jpeg
TZ 8.jpeg
TZ 9.jpeg
 

Attachments

  • TZ 1.jpeg
    TZ 1.jpeg
    97.4 KB · Views: 1
Dunia nzima inajua ukitaka kwenda kutalii bila ya bughudha ya kushurutishwa kuvaa barakoa au mikwala mingine mingi. Dunia inajua kuna nchi moja tu iko mashariki ya Afrika ndiyo haina hayo mafua. Nayo ni Tanzania.

Kuna youtuber flani mbongo anafanya reactions
Juzi karudi na kusema ilikha anaugua lkn sai ako vizuri karudi ila bado ana matatizo ya kupumua..
Ila siwezi kumuanika hapa ila kw uzuri hakusema corona direct
 
MUNGU ATULINDE 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom