Kibaka mwenzake wa Uganda ananyolewa polepole huko!🤣🤣🤣Siku hizi umebakia na akili za kuvuka barabara na kurudi nyumbani.
🤣🤣🤣
Wanatetea maslahi ya nyang'au kama kawaida yao.Sijui mods nao wananuna? Yaani wameuhamishia uzi sehemu ambayo haikusiani na issue za Afrika mashariki.
Kibaka mwenzake wa Uganda ananyolewa polepole huko!🤣🤣🤣
View attachment 1677651View attachment 1677652View attachment 1677654
Nice. Kwa Tz moja ya makazi yangu yako momella road. Usa river naijua vizuri sana. Na drivers taxi wengi hapo stendi Mdungu, Peter, Yohana Imani nk nawapata sana. Ukiwaambia John Mmarekani wananipata sana 😂😂😂.Mi Niko hapaa USA river maisha na starehe Kama kawaida huko USA kwako mizinguo
Shindwa kwa jina la Yesu na la Muhammad, nchi sio mtu.
Mkuu, ni MI' MILELE TENA.Basis tumpe mikumi natano tuu, nasema uwongo ndg zangu?
Hayo ni ya kumlainisha tu jamaa , ila Mzee anarejea tena.Kibaka mwenzake wa Uganda ananyolewa polepole huko!🤣🤣🤣
View attachment 1677651View attachment 1677652View attachment 1677654
Museven alishamwambia kotapini ikiingia kwenye baiskeli inatolewa kwa nyundo tu na sio makaratasi.Kibaka mwenzake wa Uganda ananyolewa polepole huko!
View attachment 1677651View attachment 1677652View attachment 1677654
Hapo corona nje nje!!Dunia nzima inajua ukitaka kwenda kutalii bila ya bughudha ya kushurutishwa kuvaa barakoa au mikwala mingine mingi. Dunia inajua kuna nchi moja tu iko mashariki ya Afrika ndiyo haina hayo mafua. Nayo ni Tanzania.