joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Note: Kule kwa jirani ni ndege moja pekee ya charter ndio iliyoanza kutua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuuma Sana Pole sanaTangu mmeanza hizi propaganda Tanzania imeendelea kwa kiwango gani?
Amazingly that's a ccm party line reasoning. Watch how a panel beating is done to ndanganiass.https://www.youtube.com/watch?v=empXMcgQfhMTangu mmeanza hizi propaganda Tanzania imeendelea kwa kiwango gani?
sio mchezo asee ila
Note: Kule kwa jirani ni ndege moja pekee ya charter ndio iliyoanza kutua
Note: Kule kwa jirani ni ndege moja pekee ya charter ndio iliyoanza kutua
Niumie na propaganda?? Are you stupid? Ninafanya kazi na kampuni za utalii hivyo hali halisi ninaijua bila kuambiwa na mtu.Imekuuma Sana Pole sana
Vipi ulishaenda Mirembe kuchukua dawa zako za mwezi huu?Niumie na propaganda?? Are you stupid? Ninafanya kazi na kampuni za utalii hivyo hali halisi ninaijua bila kuambiwa na mtu.
By the way, zile ndege za serikali zilizopelekwa ATCL mnazozipigia upatu zimeleta watalii wangapi hadi leo?
Sijaenda kwa kuwa sizihitaji. Ila naamini mungu wako Jiwe aka Meko yeye alizifuata. Na nina uhakika kuwa baba yako nae kaenda kuzifuata.Vipi ulishaenda Mirembe kuchukua dawa zako za mwezi huu?
Akikujibu ni tag watu tuko huku kazi hakuna krusa nyingi zimepaki tu.Kufurika ni kupi?
Saizi kila kitu ni asante flani hadi watu utadhani wamelogwaHivi kwani hakuna sekta yoyote inayoweza kuwa vizuri pasipo kumtaja meko. Kila kitu neko meko meko asante blah blah. Kwani wao hawafanyi kazi kwa nyadhifa zao? Kwamba wao hawana efforts? Hizo kazi zingine anafanya nani? Halafu huwaga wa kada ya chini wanadharaulika sana wakati ndo wanafanya kazi kubwa. Yaan hizo sifa utafikiri Tz ilikua pori na hapakua na chochote ama lolote kila kitu tumeanza zero. Au ni mimi nina ego jamani? Hata maandiko hayapendi huu unafiki.
Ngoja nikalime mahindi mimi jamani.
Inaboa sana aisee. Mbona sisi wengine hatuwez lamba makalio ya mtu hivi jaman.Saizi kila kitu ni asante flani hadi watu utadhani wamelogwa