FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,052
- 40,715
Jumapili ni siku tulivu sana kwa Kariakoo, lakini nimepita mitaa kadha wa kadha katika mizunguko yangu hapo Kariakoo na kukuta makundi kwa makundi ya wazungu wanao onekana kuwa ni watalii wakizurura hovyo hovyo bila guide wala utaratibu maalum, twiga wamehamia huko nn? Whats going on?