Tony Yeyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 723
- 544
My future wife amesoma nje ya nchi...amesomea kozi ya injia.. ila matokeo yake si mazuri sana.... Nachotaka kuuliza.. Je afanyaje ili aweze kurekebisha maksi zake kwa baadhi ya masomo aliyofanya VIBAYA...
Je anaweza kufanya ilo akiwa Tanzania?
N. B nchi aliyosoma hawana mfumo wa G. P. A
Je anaweza kufanya ilo akiwa Tanzania?
N. B nchi aliyosoma hawana mfumo wa G. P. A