kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,562
- 2,628
Wakuu habari zenu nina simu mpya aina ya itel 1408 nimenunua mwezi wa kwanza sasa tatizo La hii simu inaganda ganda nikitumia internet na meseji inaganda halafu inazimika japo mpya tatizo hili lipo tangu siku ya kwanza nimeinunua nilifikiri network kumbe siyo naomben msaada nashndwa hata kuenjoy internet duka nililonua wanakataa kubadilisha