rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,472
- 41,866
Pole sana mkuu TB inatibika vizuri tu wala msipate shida...!! Tena mwili wa jamaa inaonekana kinga yange bado ipo vizuri unaweza kupambana hasa.. Apige dawa kama alivyoandikiwa yani asichoke kabisa na Matunda ya kutosha kuimarisha kinga yake zaidi.Ahsante sana kwa ushauri wako mzuri, MUNGU akubariki sana ndugu angalau nimepata matumaini flani.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app