Baada ya kui reset simu upya, ina demand ni scan QR CODE
Wataalam natokaje hapa na katika kudadisi dadisi naambiwa QR CODE ipo nyuma ya simu, ndani kwenye betri, ila jinsi simu ilivyo au ilivyotengenezwa kuifungua ni ngumu.
Huyo ni FRP, hutokea pale unapo hard reset (restore) simu kwa ku hold zile batani za pembeni. Solution;
Mpelekee mwenye utaalamu (wanajiita mafundi simu) watakutolea
Huyo ni FRP, hutokea pale unapo hard reset (restore) simu kwa ku hold zile batani za pembeni. Solution;
Mpelekee mwenye utaalamu (wanajiita mafundi simu) watakutolea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.