Watakwenda na maji

Kiherehere

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,806
621
Wana Jamii, Mbowe, Ndesapesa na wengineo kwenye CHADEMA (CCM ni mpaka Kikwete achilia hawa wengine)nao waombe mungu siku sheria ya KUTENGANISHA BIASHARA NA SIASA kipitishwa hatutawasikia tena. Nipeni wafanyabishara wengine:-
1.Rostam Aziz
2.Edward Ngoyaye Lowasa
3.Mwakyembe (anabiashara ya kampuni ya kufua Umeme wa upepo)
4.Dewji
5....

Kwa nini hawa pesa zao wasitumie kama Sabodo? alafu waache wakulima na wafanyakazi waende kuwatetea wananchi kwenye bunge kwa moyo wooote?.Wasaidie jamii husika katika majimbo kama kweli wanao moyo wa uchungu?.
 
Wana Jamii, Mbowe, Ndesapesa na wengineo kwenye CHADEMA (CCM ni mpaka Kikwete achilia hawa wengine)nao waombe mungu siku sheria ya KUTENGANISHA BIASHARA NA SIASA kipitishwa hatutawasikia tena. Nipeni wafanyabishara wengine:-
1.Rostam Aziz
2.Edward Ngoyaye Lowasa
3.Mwakyembe (anabiashara ya kampuni ya kufua Umeme wa upepo)
4.Dewji
5....

Kwa nini hawa pesa zao wasitumie kama Sabodo? alafu waache wakulima na wafanyakazi waende kuwatetea wananchi kwenye bunge kwa moyo wooote?.Wasaidie jamii husika katika majimbo kama kweli wanao moyo wa uchungu?.
Sheria bado haija'take-off..Why should we discuss mambo ya "Sungura akasema..:doh:"
 
Unakosea, haimaanishi kama mimi ninamiliki mabasi yangu sasa nimekuwa mbunge niyaache ama niachane na biashara hiyo, si kweli hata kidogo, ni kwamba kwa vile wewe unaingia siasani, zile biashara zako unakabidhi waendeshaji wengine (Delegates) kwa mfano kama wewe ni Managing Director na unatakiwa ofisini kila siku, unamwajiri mwingine, unabaki kupata ripoti ya kampuni yako na unaendelea kutinga mjengoni, jamani unataka kusema Obama, Bushi, Clintoni wanakaa tu kusubiri mshahara wa White house? Wewe si hivyo. Hata wewe kama una ndoto za siasa endelea tu na hizo biashara zako ipo siku ukiingia utakabidhi watu nawe unakuwa msimamizi wa mbali huku unatumikia Taifa.
Marufuku kusukumia dili katika kampuni yako, ila unaruhusiwa kuomba tenda kama wenzako kwa ushindani wa kawaida na ukubali kupata ama kukosa tenda!!
Nikosolewe kama siko sahihi.
 
Unakosea, haimaanishi kama mimi ninamiliki mabasi yangu sasa nimekuwa mbunge niyaache ama niachane na biashara hiyo, si kweli hata kidogo, ni kwamba kwa vile wewe unaingia siasani, zile biashara zako unakabidhi waendeshaji wengine (Delegates) kwa mfano kama wewe ni Managing Director na unatakiwa ofisini kila siku, unamwajiri mwingine, unabaki kupata ripoti ya kampuni yako na unaendelea kutinga mjengoni, jamani unataka kusema Obama, Bushi, Clintoni wanakaa tu kusubiri mshahara wa White house? Wewe si hivyo. Hata wewe kama una ndoto za siasa endelea tu na hizo biashara zako ipo siku ukiingia utakabidhi watu nawe unakuwa msimamizi wa mbali huku unatumikia Taifa.
Marufuku kusukumia dili katika kampuni yako, ila unaruhusiwa kuomba tenda kama wenzako kwa ushindani wa kawaida na ukubali kupata ama kukosa tenda!!
Nikosolewe kama siko sahihi.

Nimekusoma hapo apakati, ila kumbuka kwa misingi ya ufuatiliaji wa milki za kampuni kwa hapa tanzania ni mdogo.Mifano hipo mingi, kifupi unamaanisha KWA MTAZAMO WAKO sheria hiyo haiwezi kufanya kazi hapa kwetu?? Ninasema hivyo kwa kuwa muundo wa serikali yetu katika kufuatilia miliki na mapungufu ya uwajibikaji na uwazi wa miliki BADO SAAANA.
 
Wana Jamii, Mbowe, Ndesapesa na wengineo kwenye CHADEMA (CCM ni mpaka Kikwete achilia hawa wengine)nao waombe mungu siku sheria ya KUTENGANISHA BIASHARA NA SIASA kipitishwa hatutawasikia tena. Nipeni wafanyabishara wengine:-
1.Rostam Aziz
2.Edward Ngoyaye Lowasa
3.Mwakyembe (anabiashara ya kampuni ya kufua Umeme wa upepo)
4.Dewji
5....

Kwa nini hawa pesa zao wasitumie kama Sabodo? alafu waache wakulima na wafanyakazi waende kuwatetea wananchi kwenye bunge kwa moyo wooote?.Wasaidie jamii husika katika majimbo kama kweli wanao moyo wa uchungu?.

wakulima na wafanyakazi ni sera ya CCM ya nyerere sio hii
 
Unakosea, haimaanishi kama mimi ninamiliki mabasi yangu sasa nimekuwa mbunge niyaache ama niachane na biashara hiyo, si kweli hata kidogo, ni kwamba kwa vile wewe unaingia siasani, zile biashara zako unakabidhi waendeshaji wengine (Delegates) kwa mfano kama wewe ni Managing Director na unatakiwa ofisini kila siku, unamwajiri mwingine, unabaki kupata ripoti ya kampuni yako na unaendelea kutinga mjengoni, jamani unataka kusema Obama, Bushi, Clintoni wanakaa tu kusubiri mshahara wa White house? Wewe si hivyo. Hata wewe kama una ndoto za siasa endelea tu na hizo biashara zako ipo siku ukiingia utakabidhi watu nawe unakuwa msimamizi wa mbali huku unatumikia Taifa.
Marufuku kusukumia dili katika kampuni yako, ila unaruhusiwa kuomba tenda kama wenzako kwa ushindani wa kawaida na ukubali kupata ama kukosa tenda!!
Nikosolewe kama siko sahihi.
Alafu umesahaau kitu kingine. Unahakikisha tenda zote kwa namna yoyote zinapitia kwenye kampuni zako hata kama wewe si managing director tena na ukiona zinaleta noma unatengeneza kakampuni kengine zinazunguka kupitia kakampuni hako ili mradi zikufikie.:smile-big:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom