Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Wana Jamii, Mbowe, Ndesapesa na wengineo kwenye CHADEMA (CCM ni mpaka Kikwete achilia hawa wengine)nao waombe mungu siku sheria ya KUTENGANISHA BIASHARA NA SIASA kipitishwa hatutawasikia tena. Nipeni wafanyabishara wengine:-
1.Rostam Aziz
2.Edward Ngoyaye Lowasa
3.Mwakyembe (anabiashara ya kampuni ya kufua Umeme wa upepo)
4.Dewji
5....
Kwa nini hawa pesa zao wasitumie kama Sabodo? alafu waache wakulima na wafanyakazi waende kuwatetea wananchi kwenye bunge kwa moyo wooote?.Wasaidie jamii husika katika majimbo kama kweli wanao moyo wa uchungu?.
1.Rostam Aziz
2.Edward Ngoyaye Lowasa
3.Mwakyembe (anabiashara ya kampuni ya kufua Umeme wa upepo)
4.Dewji
5....
Kwa nini hawa pesa zao wasitumie kama Sabodo? alafu waache wakulima na wafanyakazi waende kuwatetea wananchi kwenye bunge kwa moyo wooote?.Wasaidie jamii husika katika majimbo kama kweli wanao moyo wa uchungu?.