Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,266
- 8,479
"Kwetu Pazuri Nimeshapakumbuka".
Ile kwaya ya Ambassador of Christ kutoka Rwanda Itakuwepo pale Diamond Jubillee Jumapili 04/12/2011 wakizundua Album yao mpya waliyoiandaa baada ya kupata ajali maeneo ya Tinde mkoani Shinyanga na kupoteza maisha ya waimbaji watatu.
Usikose Njoo usikie na utabarikiwa.
Ile kwaya ya Ambassador of Christ kutoka Rwanda Itakuwepo pale Diamond Jubillee Jumapili 04/12/2011 wakizundua Album yao mpya waliyoiandaa baada ya kupata ajali maeneo ya Tinde mkoani Shinyanga na kupoteza maisha ya waimbaji watatu.
Usikose Njoo usikie na utabarikiwa.