Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 944
- 1,669
Na Tade ole Mushi kada wa CCM.
FACT:- ATAKAYESHINDA KURA ZA MAONI NI MWENYE FEDHA.
Na Thadei Ole Mushi.
Vijana wengi wa CCM wametia nia kwenye maeneo mbalimbali ya kugombea Ubunge. Ni Jambo zuri Sana Ila issue ya kushinda Ni Kudra za mwenyezi Mungu.
Twende sawa.
Wanaopiga Kura kwenye majimbo yetu ni Viongozi wa matawi yetu, Viongozi Hawa Wana Hali ngumu kimaisha kwa maana ya wengi wanatokea kwenye familia za kipato Cha chini, Mpiga Kura Kama huyu akipelekewa baiskeli kama zile Kigwangala alizotoa anachaje kumpigia Kura HK?
Majimbo yetu mengi Wapiga Kura wanaanzia wajumbe 300 Hadi 500 kwa mtu aliyehudumu kwenye Ubunge kwa miaka hata mitano tu akiamua kuhonga watu Mia tatu kwa kuwapa kila mtu shilingi 20,000 atatumia shilingi milioni sita tu, akiamua kuwapa 40,000 elfu atatumia shilingi milioni 12 tu.
Kijana ambaye Hana fedha anawezaje kupambana na jitu lenye mamilioni ya shilingi aliyovuna kwenye Ubunge na kwa Sasa Wana Kiinua Mgongo?
Kijana ambaye Hana fedha anawezaje kupambana na Mbunge mwenye network kubwa ya watu wenye fedha wanaoweza kumfadhili akashinda?
Narudia Tena hakuna mahali ambapo mpiga Kura toka kwenye matawi anaweza akaacha elfu 40,000 halafu aje asikilize blah blah zinazoitwa sera na mipango ya vijana Tena sera zenyewe unapewa dakika tatu kuzielezea. Wajumbe Hawa siwalaumu Ila maisha yao yanawalazimu kuchukua rushwa hata Kama Ni kidogo.
Ni vigumu Sana katika Hali Kama hii mtu ambaye hana financial Muscles kushinda. Any way kamati kuu imeahidi kuwakata wote ambao watatumia hila kushinda lakini watawakata wangapi?.
Tuna nafasi bado ya kurekebisha utaratibu wetu wa kupata Viongozi. Hili nimeliongea Sana Sana ipo siku tutafika huko.
Ole Mushi
0712702602
FACT:- ATAKAYESHINDA KURA ZA MAONI NI MWENYE FEDHA.
Na Thadei Ole Mushi.
Vijana wengi wa CCM wametia nia kwenye maeneo mbalimbali ya kugombea Ubunge. Ni Jambo zuri Sana Ila issue ya kushinda Ni Kudra za mwenyezi Mungu.
Twende sawa.
Wanaopiga Kura kwenye majimbo yetu ni Viongozi wa matawi yetu, Viongozi Hawa Wana Hali ngumu kimaisha kwa maana ya wengi wanatokea kwenye familia za kipato Cha chini, Mpiga Kura Kama huyu akipelekewa baiskeli kama zile Kigwangala alizotoa anachaje kumpigia Kura HK?
Majimbo yetu mengi Wapiga Kura wanaanzia wajumbe 300 Hadi 500 kwa mtu aliyehudumu kwenye Ubunge kwa miaka hata mitano tu akiamua kuhonga watu Mia tatu kwa kuwapa kila mtu shilingi 20,000 atatumia shilingi milioni sita tu, akiamua kuwapa 40,000 elfu atatumia shilingi milioni 12 tu.
Kijana ambaye Hana fedha anawezaje kupambana na jitu lenye mamilioni ya shilingi aliyovuna kwenye Ubunge na kwa Sasa Wana Kiinua Mgongo?
Kijana ambaye Hana fedha anawezaje kupambana na Mbunge mwenye network kubwa ya watu wenye fedha wanaoweza kumfadhili akashinda?
Narudia Tena hakuna mahali ambapo mpiga Kura toka kwenye matawi anaweza akaacha elfu 40,000 halafu aje asikilize blah blah zinazoitwa sera na mipango ya vijana Tena sera zenyewe unapewa dakika tatu kuzielezea. Wajumbe Hawa siwalaumu Ila maisha yao yanawalazimu kuchukua rushwa hata Kama Ni kidogo.
Ni vigumu Sana katika Hali Kama hii mtu ambaye hana financial Muscles kushinda. Any way kamati kuu imeahidi kuwakata wote ambao watatumia hila kushinda lakini watawakata wangapi?.
Tuna nafasi bado ya kurekebisha utaratibu wetu wa kupata Viongozi. Hili nimeliongea Sana Sana ipo siku tutafika huko.
Ole Mushi
0712702602