Watakaokwiba fedha za mapato ya gesi miaka 30 jela, kufilisiwa

Si mpaka atiwe hatiani. Yaani mtu kaiba labda tuseme bilioni thelathini na kazificha nje ya nchi, halafu hakimu na mwendesha mashitaka dhidi yake ana kamshahara ambako baada ya makato ni less than 2 milion. Jaji wa makahakama kuu baada ya makato hafiki 5milioni! Ni rahisi tu, huyo fisadi atatenga robo tu ya hiyo hela aliyoiba na kuuvuruga mfumo wa mahakama mwishowe ataachiwa.
 
Kutunga sheria ni jambo moja na kusimamia utekelezaji ni jambo jingine. La muhimu zaidi ni utekelezaji.
Sheria zinazozuia wizi zipo nyingi na haziruhusu wizi kwenye gesi.
 
kila atakayeajiriwa ajulishwe kuhusu sheria hiyo. ikiwezekana waiimbe kama wimbo wa taifa kila wanapowasili kazini asubuhi.
Ina maana wizi wa fedha za mapato ya gesi unatungiwa sheria mahususi! Haya bhana
 
Serikali haipambani na criminals inapambana na whistle blowers(wabunge wanaowakilisha wananchi).
 
Back
Top Bottom