Watakaokutwa wanasafirisha mirungi au bangi zaidi ya kilo 50kuhukumiwa jela maisha

Alafu naona kuna harufu ya kubambikizia watu kesi hapo inakujaaaa....
Wao wanaamini wapinzani ni maadui...
Mbowe kwakuwa tu mpinzani nae akasingiziwa...kisa kutaka kuharibu legacy yake...
Waliosaini mikataba mibovu ya makinikia wanaula tu mtaani,wauza nyumba za serikali wanakula maisha tu....
Ila maskini hawa wenye maisha magumu wananyanyaswa mpka tone la mwisho
 
Yaani kila mara watu tunapozungumzia madawa ya kulevya wao wanadiffuse sitiation na kitumia nguvu nyingi kuingiza MIRUNGI na BANGI

TAIFA linaangamia kwa COCAINE na HEROINE pamoja na synthetic drugs nyingine

Ilinisikitisha sana kwenye hotuba zake kamishna mkuu SIANGA alitumia muda mwingi sana sana sanaaa kuongelea MIRUNGI,

Tuwe serious kabisa tena mirungi na bangi naamini ndiyo inayopunguza idadi ya MATEJA wa UNGA na WALEVI wa POMBE

Tuwe serious kabisa tuache kupoteza muda na rasilimali nyingi kupambana na hii mimea ya asili mi nafikiri busara kubwa sasa itumike kwenye COCAINA, HEROINE na SYNTHETIC DRUGSS NYINGINEE
Ni kweli, na hizo ndizo hasa zinaharibu na kuua vijana
 
Watahangaika sana na bangi,watashindana lakini hawatashinda.humo bungeni tu karibia nusu au 40 wanatumia including mawaziri,tena baadhi yao pusha wanayemtumia ndo tunayemtumia na sie,waache unafiki watuache tulanduke kwa amani.lasiivo tutaanza kuwataja humu.
 
kenya mirungi ni bidhaa halali na inaingiza kipato cha kutosha ktk nchi hiyo...

zipo nchi zimehalalisha matumizi ya mmea wa bangi.

hizi sheria mpya za tz khs madawa ya kulevya zitachochea utoaji wa rushwa..
 
Back
Top Bottom