Watafutie wanao connection

baiser

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
1,456
2,179
Ndugu mwana jf pamoja na maisha yote tunayoishi na kufurahia tutambue kwamba hatutaishi milele kifo hakichagui umri bali iman kuwa mzazi utakufa au kuzeeka mapema kabla ya wanao

Msingi wa uzi huu ni wazazi tujitahidi kuwataftia watoto connections ,tafuta pesa peleka mtoto shule nzuri atakutana na wenzake waliotoka familia nzuri na atapata connections

Kila upatapo kukutana na watu wa jamii fulan either wafanyabiashara ,wafanyakazi wa serikali na binafsi hakikisha wanao wanapata connections nao

Kila la kheri wazaz katika kuwatafutia connections vwatoto wenu.
 
sina comment ....
tusubiri tu siku parapanda itakapolia sote turudi kwake..
inakatisha tamaa sana basi tu.
 
"Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake'
[/QUOTE Exactly! Ni kupambana na kuandalia wanao maisha ili wengine ndio wajikombe kwao, hao anaofikiria kujikomba kwao watambeza na kumdharau tu. Hizi ni fikra potofu kabisa!
 
Ndugu mwana jf pamoja na maisha yote tunayoishi na kufurahia tutambue kwamba hatutaishi milele kifo hakichagui umri bali iman kuwa mzazi utakufa au kuzeeka mapema kabla ya wanao

Msingi wa uzi huu ni wazazi tujitahidi kuwataftia watoto connections ,tafuta pesa peleka mtoto shule nzuri atakutana na wenzake waliotoka familia nzuri na atapata connections

Kila upatapo kukutana na watu wa jamii fulan either wafanyabiashara ,wafanyakazi wa serikali na binafsi hakikisha wanao wanapata connections nao

Kila la kheri wazaz katika kuwatafutia connections vwatoto wenu.
Umenirejesha kwenye ushauri wa Prof mmoja aliyekuwa akisisitiza kwamba chanzo cha Umaskini ni Umaskini.
Tena akawa anasisitiza kwamba kunywa bia kunaleta umaskini siyo kwasababu unatumia pessa nyingi kununua kinywaji, bali bia zinaleta umaskini kwasababu wale unywao nao hawakupi connection za maaana tofauti na wale wanaokunywa Wines Viwanja vya maana kama Kempinsk, New Africa, IT Plaza nk nk hao Connection zao ni kiboko na mwishowe hutoa tuuu.
 
Umenirejesha kwenye ushauri wa Prof mmoja aliyekuwa akisisitiza kwamba chanzo cha Umaskini ni Umaskini.
Tena akawa anasisitiza kwamba kunywa bia kunaleta umaskini siyo kwasababu unatumia pessa nyingi kununua kinywaji, bali bia zinaleta umaskini kwasababu wale unywao nao hawakupi connection za maaana tofauti na wale wanaokunywa Wines Viwanja vya maana kama Kempinsk, New Africa, IT Plaza nk nk hao Connection zao ni kiboko na mwishowe hutoa tuuu.
Haswa umenipata vyema mkuu

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Maana ya Connection ni "kujikomba" kwa wenye nacho.
Wanachama wa vyama vya kisiasa ndio nguzo yao kuu.Kujikomba na kujipendekeza, Sipendi hii kitu.
Kwa nini mwanaume usisimame kwa miguu yako unategemea wanaume wenzio wakuvushe.
Mbona wahindi,warabu hawajikombi hovyo lakini ndio wenye kumiliki uchumi wa TZ.
Hivi kampuni kama Google,Microsoft, Tesla watu hupewa kazi kwa kujikomba au competence? Kwa mwendo wa kujikomba hatuji kuwa "first world country never"!
 
Umenirejesha kwenye ushauri wa Prof mmoja aliyekuwa akisisitiza kwamba chanzo cha Umaskini ni Umaskini.
Tena akawa anasisitiza kwamba kunywa bia kunaleta umaskini siyo kwasababu unatumia pessa nyingi kununua kinywaji, bali bia zinaleta umaskini kwasababu wale unywao nao hawakupi connection za maaana tofauti na wale wanaokunywa Wines Viwanja vya maana kama Kempinsk, New Africa, IT Plaza nk nk hao Connection zao ni kiboko na mwishowe hutoa tuuu.
Wenye connections nao wanataka kukaa na wenye connections wenzao. Hapo utafanya nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom