Wasalaam
Sina tatizo nao ila nadhani nawaonea huruma, watakuwa na tatizo kubwa kisaikolojia... humu MMU wapo siwataji majina ila mmoja nakumbuka kisa chake alijizushia amepata ajali kwa ID yake nyingine.. anazo kadhaa tulio kuwa karibu yake tunaufahamu mwandiko wake
Baada ya habari ile nikaingia pm kuthibitisha majibu niliyopewa nibaki mmmh.... ki ukweli taarifa ile ilinishitua sana
Sio kila member anaetolewa taarifa ya janga kumkuta ni kitu halisi vingine hukuzwa sana.. mi sijafurahia kwa kweli, wenye tabia hii achani.
Sina tatizo nao ila nadhani nawaonea huruma, watakuwa na tatizo kubwa kisaikolojia... humu MMU wapo siwataji majina ila mmoja nakumbuka kisa chake alijizushia amepata ajali kwa ID yake nyingine.. anazo kadhaa tulio kuwa karibu yake tunaufahamu mwandiko wake
Baada ya habari ile nikaingia pm kuthibitisha majibu niliyopewa nibaki mmmh.... ki ukweli taarifa ile ilinishitua sana
Sio kila member anaetolewa taarifa ya janga kumkuta ni kitu halisi vingine hukuzwa sana.. mi sijafurahia kwa kweli, wenye tabia hii achani.