Wataalamu wanatumia njia gani kutupatia Takwimu za UKIMWI

kweka_tz

Member
May 31, 2019
7
4
Naomba kuhuliza swali...

Je, Wataalamu wanatumia mbinu gani kutupa takwimu za maambuzi ya UKIMWI,,,
Someting comfuse me pale wanapsema 200 kila siku wanaambukizwa virusi vya ukimwi
 
takwimu kuhusiana na maambukizi ya ukimwi..
je wataalamu wanatumia vigezo gan kutumambia kila siku kuna kuwa na maambuzi ya virus vya ukimwi 200
 
Swali zuri
Kabla sijakujibu naomba nikuulize swali


Umeshawahi kwenda kupima VVU?
 
Umeandika fasta

Nahisi ni ongezeko la idadi ya watu wenye virusi vya ukimwi.
 
sema what comfuse me n iyo idadi wanayo toa kila siku ikiwa ni idadi kubwa sana ya watu,
lets say kwa hao watu 200 kwa siku,so hapo kwa mwaka wanaugua watu 600k
naomba kuelewa kwa kwel
 
Hii ni reasearch mkuu na ni fani pia kama alivo prof Kabuni nguli wa Sheria nchini. Wanachofanya ni kupima baadhi ya watanzania (sampling), mfano tunapima watu 10,000 tu kati yao utaona asilimia 20% wanavirusi hii maana yake kuwa on average ukipima watu 10,000,000 bado utapata 20% wanamaambukizi. Kuhusu mia 200. let say mwaka jana watu waliokuwa na virusi 1000 na mwaka huu ni 1365 hii inaonyesha kuna ongezeko la watu 365. Hao ukigawa ongezeko kwa siku 365 unapata 1 hii maana yake ni kuwa atleast kila siku mtu mmoja anapata virusi.
 
Naomba kuhuliza swali...

Je, Wataalamu wanatumia mbinu gani kutupa takwimu za maambuzi ya UKIMWI,,,
Someting comfuse me pale wanapsema 200 kila siku wanaambukizwa virusi vya ukimwi
Hadi takwimu zinatangazwa hadharani, hapo jibu ni kwamba tayari wataalamu kadhaa wanakua wamefanya research kwa miezi/miaka kadhaa hadi kupata makisio ya idadi ama namba zinazo kadiriwa.
Na wakati mwingine idadihiyo inaweza ikawa pungufu ama ongezefu kidogo.
 
Hii ni reasearch mkuu na ni fani pia kama alivo prof Kabuni nguli wa Sheria nchini. Wanachofanya ni kupima baadhi ya watanzania (sampling), mfano tunapima watu 10,000 tu kati yao utaona asilimia 20% wanavirusi hii maana yake kuwa on average ukipima watu 10,000,000 bado utapata 20% wanamaambukizi. Kuhusu mia 200. let say mwaka jana watu waliokuwa na virusi 1000 na mwaka huu ni 1365 hii inaonyesha kuna ongezeko la watu 365. Hao ukigawa ongezeko kwa siku 365 unapata 1 hii maana yake ni kuwa atleast kila siku mtu mmoja anapata virusi.
umemaliza kila kitu mkuu,comment fupi ila ni darasa linaloelweka sana,ishu inakuwa katika watu wangapi waliopimwa kati ya muda gani (mwezi/mwaka) wamgapi (asilimia ngapi) kati yao wanamaambukizi ya ukimwi???wakishapata hiyo takwimu inakuwa ni rahisi kuelewa au kupata takwimu kwa siku kuna ongezeko au punguzo la watu wangapi wanaoambukizwa kama ziezi la kupima litarudiwa after a certain scaled time,big up mkuu
 
Wale wanaopita kukusanya damu mashuleni /vyuoni wanaweza kuwa wanahusika kwa namna moja au nyingine kama sehemu ya kupata taarifa zihusuzo maambukizi ya HIV.
 
Wale wanaopita kukusanya damu mashuleni /vyuoni wanaweza kuwa wanahusika kwa namna moja au nyingine kama sehemu ya kupata taarifa zihusuzo maambukizi ya HIV.
mkuu,uko sahihi kabisa,pia takwimu ni simple sana kuzipata,mfano serikali ikiamua kusort hospital tano za mikoa tofauti inapata kirahisi sana takwimu za watu wanaofika kwa Huduma wangapi kati yao wanakuwa na maambikizi ya ukimwi??hiyo ni nija moja kati ya methodologies tofauti zinazoweza kutumiwa kupata takwimu,ni swala la kitaalam mzee na watu wa hiyo fani hizo ndo kaz zao jombaa
 
mkuu,uko sahihi kabisa,pia takwimu ni simple sana kuzipata,mfano serikali ikiamua kusort hospital tano za mikoa tofauti inapata kirahisi sana takwimu za watu wanaofika kwa Huduma wangapi kati yao wanakuwa na maambikizi ya ukimwi??hiyo ni nija moja kati ya methodologies tofauti zinazoweza kutumiwa kupata takwimu,ni swala la kitaalam mzee na watu wa hiyo fani hizo ndo kaz zao jombaa
Siyo kusort,siku hizi hospitali au vituo vya afya vya umma ukienda hata kupeleka Mgonjwa wanataka wakupime kwanza ndiyo taratibu zingine ziendelee
 
Umemjibu mtoa hoja vizuri. Lakini mimi sidhani hao waliopima walichukua statistical sampling inavyotakiwa. Umeshawahi kusikia watu wanapimwa "kwa kuchaguliwa kama sampo"? Hilo halijawahi kuwepo. Kinachotolewa ni majibu kwa WALE WALIOJITOLEA KWENDA KUPIMA. Hao wamaweza kuwa idadi ndogo sana ya waathirika
 
Back
Top Bottom