Kwa wenzetu nchi zilizoendelea mobile application zimefanya watu wengi kuwa matajiri na bado wanaendelea kutajirika,natafuta watanzania wenye kutengeneza mobile application nzuri na ambao creative tuweze kutengeneza mobile application ambayo itaweza kutuingizia pesa,niko kwenye nafasi nzuri na pia nchi nzuri ambapo nikitangaza ni rahisi kukubalika na watu na hatimaye tukafanikiwa.
Nawakaribisha
Nawakaribisha