SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Heri ya Mwaka Mpya wataalamu na wadau wote wa jukwaa hili.
Nimesoma kwa masikitiko makubwa kwamba Microsoft watasimamisha support ya Windows xp mwezi wa nne mwaka huu.
Hizi habari kwangu ni pigo kubwa kwa sababu mimi ni mpenzi mkubwa wa windows xp. Nimetokea kuipenda sana hii OS kwa sababu zifuatazo:
1. OS hii huja na drivers zote muhimu kwa device yoyote utakayo-instal.
2.Ina mfumo mzuri wa users accounts. Waweza kumfungulia mwanao user account kwenye winxp na akacheza na hiyo account yake apendavyo bila ku-upset settings zako. Kwa mfano, hawezi kudown au ku-instal chochote.
3. Ina restore point. Hii ni feature nzuri mno! Kama kompyuta inakorofisha, waweza kuirudisha nyuma kwenye mahali ambapo ilikuwa inafanya kazi vizuri ie ni kama kuifufua kompyuta.
Hizo ni baadhi tu ya features nzuri zilizonifanya niipende sana windows xp.
Microsoft wanashauri tutumie os za 'kisasa zaidi eg win7, 8 nk.
Je wataalamu, os za windows za kisasa zaidi zina hizo features tatu nilizoainisha hapo juu? Kwenye windows8 naweza mfungulia mwanangu account yake? Au ikitokea issue ya software kukorrupt system, je naweza ku-restore kompyuta
kama ni windows 8.1?
To me,these new technologies are too user unfriendly and more confusing!
PLEASE MICROSOFT, KEEP WINDOWS XP GOING!
Nimesoma kwa masikitiko makubwa kwamba Microsoft watasimamisha support ya Windows xp mwezi wa nne mwaka huu.
Hizi habari kwangu ni pigo kubwa kwa sababu mimi ni mpenzi mkubwa wa windows xp. Nimetokea kuipenda sana hii OS kwa sababu zifuatazo:
1. OS hii huja na drivers zote muhimu kwa device yoyote utakayo-instal.
2.Ina mfumo mzuri wa users accounts. Waweza kumfungulia mwanao user account kwenye winxp na akacheza na hiyo account yake apendavyo bila ku-upset settings zako. Kwa mfano, hawezi kudown au ku-instal chochote.
3. Ina restore point. Hii ni feature nzuri mno! Kama kompyuta inakorofisha, waweza kuirudisha nyuma kwenye mahali ambapo ilikuwa inafanya kazi vizuri ie ni kama kuifufua kompyuta.
Hizo ni baadhi tu ya features nzuri zilizonifanya niipende sana windows xp.
Microsoft wanashauri tutumie os za 'kisasa zaidi eg win7, 8 nk.
Je wataalamu, os za windows za kisasa zaidi zina hizo features tatu nilizoainisha hapo juu? Kwenye windows8 naweza mfungulia mwanangu account yake? Au ikitokea issue ya software kukorrupt system, je naweza ku-restore kompyuta
kama ni windows 8.1?
To me,these new technologies are too user unfriendly and more confusing!
PLEASE MICROSOFT, KEEP WINDOWS XP GOING!