Wataalamu wa Ujenzi Mnasemaje kuhusu aina hii ya Matofali.??

Kipeperushi

Senior Member
Aug 17, 2011
167
33
Hivi karibuni nilibahatika kutembelea wilaya tatu zilizopo katika mkoa wa Mtwara na miongoni mwa mambo mapya kwangu niliyojifunza, hususani katika masuala ya ujenzi, ni matumizi ya matofali yaliyotengenezwa kutokana na mchanganyiko wa cement na udongo wa kichuguu (mfinyanzi). Kinachoangaliwa hapo ni uwezekano wa kupata matofali mengi zaidi kwa mfuko mmoja wa cement pale unapotumia mfinyanzi ikilinganishwa na unapotumia mchanga wa kawaida. Ninachoomba kujuzwa toka kwenu ni usahihi wa mtazamo huu wa uchanganyaji cement na mfinyanzi. Je, unakubalika kisayansi? Na kama inakubalika ratio sahihi ni ipi kwa mfuko mmoja? Natanguliza shukrani zangu kwa mchango wowote wa mawazo toka kwenu.
 
Lugha ya picha hiyo unaongelea style za mapenzi kwa lugha ya matofali,lmao[/Uko mbali mkuu, naongelea matofali kwa ajili ya ujenzi wa nyuma. Lugha hiyo inayohusisha matofali na mapenzi inatumiwa na kabila gani tena mzee..?]
 
Shaka we ni mjukuu niombe radhi,huyu kipeperushi haaminiki anyway una ujenzi au? huku hong kong kuna machine za matofali nzuri sana achana na hiyo style ya matofali unayotaka iko outdated kama unataka tuwacliane nikutumie ni ya umeme tofali elfu kwa cku
 
Shaka we ni mjukuu niombe radhi,huyu kipeperushi haaminiki anyway una ujenzi au? huku hong kong kuna machine za matofali nzuri sana achana na hiyo style ya matofali unayotaka iko outdated kama unataka tuwacliane nikutumie ni ya umeme tofali elfu kwa cku[/Nipe gharama mkuu. nitakuagiza maana haya ya mfinyanzi naona sio issue]
 
Shaka we ni mjukuu niombe radhi,huyu kipeperushi haaminiki anyway una ujenzi au? huku hong kong kuna machine za matofali nzuri sana achana na hiyo style ya matofali unayotaka iko outdated kama unataka tuwacliane nikutumie ni ya umeme tofali elfu kwa cku
Si uweke mambo hadharani kaka ili tujue.
 
Back
Top Bottom