2017 No Name
Senior Member
- Jul 26, 2017
- 172
- 133
Nice.,.unapiga chombo gani,..natafuta mtu anifundishe kupiga either drums,guitar or keyboard.Nipo Dar Mkuu
Nahitaji Mwalimu wa Muziki!
Nice.,.unapiga chombo gani,..natafuta mtu anifundishe kupiga either drums,guitar or keyboard.Nipo Dar Mkuu
Mkuu, mm sipigi hata kimoja kati ya hivyo ila na mimi nikipata muda nataka nijifunze kupiga hivyo ulivyosema. Mimi natumia biti tu kupitia PC.Nice.,.unapiga chombo gani,..natafuta mtu anifundishe kupiga either drums,guitar or keyboard.
Nahitaji Mwalimu wa Muziki!
Anha.,.Mwenyewe napiga beat tu kwa kutumia PC!!!Mkuu, mm sipigi hata kimoja kati ya hivyo ila na mimi nikipata muda nataka nijifunze kupiga hivyo ulivyosema. Mimi natumia biti tu kupitia PC.
mziki wako ni mkubwa kwa kiasi gani?Anha.,.Mwenyewe napiga beat tu kwa kutumia PC!!!
Kumaanisha???mziki wako ni mkubwa kwa kiasi gani?
Yaani una nini na nini? Mixer, spika n.kKumaanisha???
Kumaanisha???mziki wako ni mkubwa kwa kiasi gani?
Anha.,.Nna Laptop and a Dream.,.!!!Yaani una nini na nini? Mixer, spika n.k
Hata huelewekiAnha.,.Nna Laptop and a Dream.,.!!!
habari za majukumu ndugu zangu, naombeni kwa wajuzi wa program za kutengeneza mziki, kuna hili pambio limeimbwa na solly mahlangu wa S.A linaitwa obligado, nalipenda sana beat lake lakini sijui namna ya kutoa sauti na kubakiwa na beat mp3. Naombeni mnisaidie please. natanguliza shukrani kwa yeyote atakaye nisaidia Mungu ambariki. Ahsanteni.