hizi zinapatikana wap mkuu???Kadet za mtumba hazipauki,znauzwa kuanzia 25k+
Nimemuelewa vyema
Kwenye maduka makubwa ya nguo za mtumba za kiume,huwez kosa tena wakat huo nikiwa arusha ndo nilkuwa nanunua kwa 25k lakin sasa npo sengerema kuna jamaa kafungua duka kubwa anaziuza 15khizi zinapatikana wap mkuu???
nina jeep ya miaka 3 na haijapauka,mkuu nyie mnavaa jeep gani inapaukqKabisa mkuu. Juzi kati nimeshangaa kuzikuta soko la Memorial-Moshi kwa 10k. Nzuri kabisa na hazipauki haraka kama hizi jeep.
nina jeep ya miaka 3 na haijapauka,mkuu nyie mnavaa jeep gani inapaukq
haina shida,kesho asubuhi nitatupia mkuu, yah ni kweli kuna aina mbili za cadet na sometimes tatu, kuna hizo mbili umetaja na kuna midabwada sahivi imeingia inauzwa elfu kumi na tano, inataka kufanana na za kuvutikaEmbu tupia picha tuione hiyo kama hutojali, wengi hapa nimeona wanachanganya aina ya kadeti anayozungumzia jamaa.. Zinaitwa Chinos kwa jina lingine, huwa zinavutika hivi kitambaa chake, wengi hapa wanaosifu zao hazipauki, wanazungumzia kadeti za kizamani zile za ngumu kibox..
Mkuu tunasubiri utupiehaina shida,kesho asubuhi nitatupia mkuu, yah ni kweli kuna aina mbili za cadet na sometimes tatu, kuna hizo mbili umetaja na kuna midabwada sahivi imeingia inauzwa elfu kumi na tano, inataka kufanana na za kuvutika
kununua cadet kunaitaji kichwa kitulie,nimewahi kubahatisha celvin klein moja imesimama hatari
Wewe ni liongo!!haina shida,kesho asubuhi nitatupia mkuu,
😂Mkuu,kusahau tu,next week nitakuwa nyumbani nitaweka pichaWewe ni liongo!!
Kadet nzuri zipo Kagera ambazo zinatoka Uganda