incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,229
- 3,525
Hii avatari yangu ni mimi huyo kabisa na ndio maana ninaitwa terminator, ukinichungulia vzuri utaona kama naugulia maumivu ya kukaliwa jipu, lakini pia wale wajuzi wa lugha za ishara wanaona kama nilikuwa najaribu kutafta radha ya kitu flani hiviii, kinachonipa mchahanganyiko chumvi sio chumvi, sukari kwa mbali, mara kwa mbaali inakuja radha ya chuma cha kutu,
Kwa upande flani ivi kuna furaha mchuchumio yaani hii ni ile hali ya kuwa na furaha ukatamani kucheka katika mambo serious ukajistukia ukaamua kuvunga, tena ukichunguza unaona kama nimekanyaga kaa la moto katika hali ambayo mguu ulikuwa katika ganzi na hapo ndio nasikilizia matokeo ya tukio lililofanyika sekunde kadhaa nyuma,
Kwa upande mwingine unaona kama ni jicho la warning kwa mtoto anaetaka kunichafuria heshima ugenini yaani ni shida
ngoja niwaache wataalamu wa mambo watoe majibu wao wameona nini baadae nitaleta hitimisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upande flani ivi kuna furaha mchuchumio yaani hii ni ile hali ya kuwa na furaha ukatamani kucheka katika mambo serious ukajistukia ukaamua kuvunga, tena ukichunguza unaona kama nimekanyaga kaa la moto katika hali ambayo mguu ulikuwa katika ganzi na hapo ndio nasikilizia matokeo ya tukio lililofanyika sekunde kadhaa nyuma,
Kwa upande mwingine unaona kama ni jicho la warning kwa mtoto anaetaka kunichafuria heshima ugenini yaani ni shida
ngoja niwaache wataalamu wa mambo watoe majibu wao wameona nini baadae nitaleta hitimisho
Sent using Jamii Forums mobile app