Wataalamu wa masafa: Kwanini masafa ya FM yanaanzia 87.5 na kuishia 108 hayapungui wala hayazidi?

Naona frequency yakutumika ni namna tu nchi ilivyoamua sio kwamba ipo fixed kwamba masafa ni hayo tu........sema nchi nyingi zinapenda kua na standard moja ili kuepusha usumbufu kwa watumiaji na watengenezaji wa vifaa vya kurusha na kupokea hayo masafa
Screenshot_20211128-205539_Samsung Internet.jpg
 
Naona frequency yakutumika ni namna tu nchi ilivyoamua sio kwamba ipo fixed kwamba masafa ni hayo tu........sema nchi nyingi zinapenda kua na standard moja ili kuepusha usumbufu kwa watumiaji na watengenezaji wa vifaa vya kurusha na kupokea hayo masafaView attachment 2026478
Ukitaka kushika Magic FM kwenye radio za gari basi lazima kuna kifaa wanakiweka mafundi kukuwezesha kukamata maana radio za gari zinaanza 7x mpaka 90.
 
Ukitaka kushika Magic FM kwenye radio za gari basi lazima kuna kifaa wanakiweka mafundi kukuwezesha kukamata maana radio za gari zinaanza 7x mpaka 90.
Hizo redio unakuta zilitengenezwa kwa ajili ya masafa ya nchi fulani sasa unakuta hio redio imekuja huku ambako hayo masafa hayatumiki ndo maana inakua lazima uwe na hiko kifaa........tunanunua sana magari ya japan ndo maana hata redio zake zinakuja zikiwa na masafa ya fm ya Japan
 
Kwa Radio wanatumia masafa ya kati ambayo ni Frequency Modulation (FM) ambayo yanaanzia na masafa ya 87.5 mpaka 108 MHz.
Hivyo kupata masafa yako binafsi utacheza kutoka 87.5 mpaka 108 kwa radio bongo hakuna masafa yanayozidi 108.
Na masafa kwa Bongo huuzwa na TCRA hivyo kuwahi kwa Radio kuchukua masafa ya eneo fulani ndio hupelekea Radio husika kuwa na masafa ya kati ya mwanzo.
Sababu ya kutumia masafa Kati ya 87.5 to 108 ni kwa Sababu masafa hayo ni masafa ya kati ambayo mawimbi yake ndio yanawezesha kufikiwa/kufikia vituo vya Radio
 
Back
Top Bottom