awahi hosp ya mapenzini kabla hatujazika.....
kuna dada mmoja
hapa kwa mtaa ambao naishi ni ndugu wa rafiki yangu amekuwa na mazoea na
mimi kiasi kwamba asipokutana na mie au kunipigia simu kwa siku ni
tatizo je hizi dalili za mwanamke akiwa amempenda mwanaume ama la ili
nitengeneze mazingira mapema
hahaha wanaume wa Dar hata kuvunja biscuit hawawezi.. Sembuse kujua kama umependwa au lah..
Back to topic.. Dogo huyo dem anakuona mpo jinsia moja ndo maana anapenda urafiki na wewe kiukaribu sana.. Mtongoze akutukane... Upo mkoa gani lakini? Au panya road region?
Hebu niPM namaba zake kwanza,then tutaongeaKWANINI MKUU?
PAMOJA MKUUChunguza kwanza sababu zinazomfanya awe karibu na wewe kuliko kuanza kufikiria kumtongoza. UKishajua ndiyo utakuwa katika nafasi nzuri ya kutambua unasimamia wapi katika akili/moyo au nasfi yake, ndiyo unaweza kuchukua hatua. Usikute kuna kitu anakitafuta au kukitaka kupitia kwako, chunguza kwanza.
Siyo wote,Huyu ni mwanaume wa Dar mkuu!........Mimi mbona hapa mtaani nina dada ambae ni rafiki yangu mpendwa wala haitusumbui akili na kama ni mapenzi mda wake utafika sina haja ya kukurupuka au kukimbilia JF!Wanaume wa Siku hizi jamani....