Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,021
- 2,296
- Thread starter
- #341
Maana ya kuuleta huu Uzi ni kwamba mtu ambae hata aufanyie kaz bas anasoma anapita zake. Ila kuna ambao wanashida na wanahtaji kujua ni app ya aina gani na unadukuaje sasa wengi wanaozijua wanazunguka tu hata hawatoi majibu sahihi!
Kama app unaijua we taja kila mtu atatumia kwa risk yake.
Au kama kuitaja jina hiyo app hadi mtu alipie bas muwe wazi. Emu mtusaidie jaman watu tunadanganywa sana na hawa viumbe we unajidai upo pekeako kumbe mpo hata zaidi ya watano.
Hivi kweli mtu anakuja hapa anasema hii app tumia kuahack simu za wake zenu na wapenzi wenu hadharani! hakika kati ya mahusiano 10 basi moja tu ndio itahimili! Hiyo dhambi ya kutenganisha ndoa za watu nani anataka! pia huu uzi ni kuleta mrejesho tuliowahi kuhack na yaliyotukuta! si wa kufundishana! kama ilikua ya kufundishana basi ungekua jukwaa la teknohama