Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,021
- 2,296
Usiombe udukue simu ya mwenza wako, unawez ukajitaguliza ahera kwa utakayokutana nayo ukajuta kama wewe ndio wale wanaojifanya mahaba kama yote!
Mimi ukinipa simu yako nikiamua dakika Tano haipiti nimeshakudukua, kuanzia Whatsapp, Calls za kawaida, sms, yani naweza sikiliza calls zako zote sms zote, picha zote, mpaka locatio wakati unawasiliana.
Hii kitu usiombe umdukue umpendae yani asilimia za kumuacha ni 99% mana binadam moyo wake umejaa kiza kinene, kila niliemdukua niliyokutana nae inabidi nifyekelee mbali! Usijifsnye unaringa inapendwa uko peke yako, jaribu hii kama usipozimia.
Yani mpaka niliesema huyu nataka kudumu nae nikasema nimuambie ukweli, nikamwambia mama kuanzia sasa plz kua makini simu yako yote na mawasiliano yako yote yapo kwangu simu yako yote naiona utakachokifanya nakiona so kua makini! Hiyo ndio salama yangu!
Kama huna roho ngumu usi hack simu ya umpendae, mimi niliacha kila niliyemdukua
Hebu tupeane uzoefu tuliowahi kudukua/ hack simu za wenza wetu! Je, tuliyokutana nayo tulihimili?
Kudukua/kuhack au kutrak simu ya mto acha kabisa usifanye hivyo ni kosa.
Na utaalamu wangu iPhone ilinishinda niliweza tu whatsapp! Mwenye ujanja wa kidukua iPhone anipe ujanja.
View attachment 937750
View attachment 937751
View attachment 937752
View attachment 937753
Mimi ukinipa simu yako nikiamua dakika Tano haipiti nimeshakudukua, kuanzia Whatsapp, Calls za kawaida, sms, yani naweza sikiliza calls zako zote sms zote, picha zote, mpaka locatio wakati unawasiliana.
Hii kitu usiombe umdukue umpendae yani asilimia za kumuacha ni 99% mana binadam moyo wake umejaa kiza kinene, kila niliemdukua niliyokutana nae inabidi nifyekelee mbali! Usijifsnye unaringa inapendwa uko peke yako, jaribu hii kama usipozimia.
Yani mpaka niliesema huyu nataka kudumu nae nikasema nimuambie ukweli, nikamwambia mama kuanzia sasa plz kua makini simu yako yote na mawasiliano yako yote yapo kwangu simu yako yote naiona utakachokifanya nakiona so kua makini! Hiyo ndio salama yangu!
Kama huna roho ngumu usi hack simu ya umpendae, mimi niliacha kila niliyemdukua
Hebu tupeane uzoefu tuliowahi kudukua/ hack simu za wenza wetu! Je, tuliyokutana nayo tulihimili?
Kudukua/kuhack au kutrak simu ya mto acha kabisa usifanye hivyo ni kosa.
Na utaalamu wangu iPhone ilinishinda niliweza tu whatsapp! Mwenye ujanja wa kidukua iPhone anipe ujanja.
View attachment 937750
View attachment 937751
View attachment 937752
View attachment 937753