Wataalamu wa kubadi papai naombeni maoni yenu katika hili

benjamathayo

Member
May 22, 2018
75
77
Watalamu wakubadi nimefanya hivi ili hilo tawi liweke mizizi kwenye huo udongo halafu nilitoe hilo tawi niipande sehemu nyingine naomba mniambie kama nitafanikiwa au nimechemka
IMG_20200526_084429_6.jpeg
 
Nimeona wafilipino wanafanya sana hii, faida yake huo mche utazaa baada ya mda mfupi sana. Utafanikiwa ila usisite kuleta mrejesho.
 
Back
Top Bottom