proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,468
- 1,329
Hello ,habari ya muda huu ,naombeni kuuliza hivi gharama za makato kwenye kodi ya gratuity zikoje?
Ni asilimia ngapi ya kiwango unachotakiwa kulipa unatakiwa kukatwa?
Mfano mtu analipwa m12 ni kiasi gani unatakiwa kukatwa kama kodi ya serikali kwa kiasi hicho? Wenye ujuzi wa hii naomba ufafanuzi , Asanteni.
Ni asilimia ngapi ya kiwango unachotakiwa kulipa unatakiwa kukatwa?
Mfano mtu analipwa m12 ni kiasi gani unatakiwa kukatwa kama kodi ya serikali kwa kiasi hicho? Wenye ujuzi wa hii naomba ufafanuzi , Asanteni.