Wataalamu wa Home theatre naomba msaada wenu

Hivi haya huwa mnayaandika na nyie mkiwa nchini TZ, kweli au mko Ulaya??kwa hizi bundles zetu kweli, mtu utumie net, kwenye smart tv?hapo ukute huyo mtu yupo Itenka huko?!!!jamani,!!!
Maisha ndiyo haya haya tu ndugu😂😂😂
 
Naweza nikawa nna hiyo hela na nikauziwa kitu kisicho bora,lengo la kuuliza ushauri hapa ni kununua kitu kilicho bora kwa thamani halisi ya pesa
Siku ukitaka kuoa uje uombe ushauri hapa JF ukiomba upatiwe wasifu wa mwanamke unayetaka kumuoa ili wanaomfahamu wakushauri
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom