Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,682
Tunajaribu kuwapa mawazo mbadala. Nina hiyo 5.1Mkuu Acha vituko mtu wa vitu vya bei hio hawezi kuja kuomba ushauri JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajaribu kuwapa mawazo mbadala. Nina hiyo 5.1Mkuu Acha vituko mtu wa vitu vya bei hio hawezi kuja kuomba ushauri JF.
Wanauzaje hapo Mlimani?Mbona mliman zipo laki sita mpaka million, lakin sound bar hazina bei Sana kama home theater, lakin sound bar ni nzur Kwa kuchekia filam
Kuna bidhaa za kila mtu na bidhaa za enthusiasts.Naweza nikawa nna hiyo hela na nikauziwa kitu kisicho bora,lengo la kuuliza ushauri hapa ni kununua kitu kilicho bora kwa thamani halisi ya pesa
Mliman city sound bar zipo kunzia laki 6, lakin Mimi naona DVD HOME THEATER ni nzur zaidi tena Sony watt 1000Wanauzaje hapo Mlimani?
True sound bars ni Boston Acoustics, Bose na JBL tuMlimani hakuna sound Bar za jbl nimetafuta sana zipo za Lg,sony na panasonic
Hivi haya huwa mnayaandika na nyie mkiwa nchini TZ, kweli au mko Ulaya??kwa hizi bundles zetu kweli, mtu utumie net, kwenye smart tv?hapo ukute huyo mtu yupo Itenka huko?!!!jamani,!!!Kwa tech ya sasa DVD ya nini. Unganisha smart tv, sound bar na internet
Maisha ndiyo haya haya tu ndugu😂😂😂Hivi haya huwa mnayaandika na nyie mkiwa nchini TZ, kweli au mko Ulaya??kwa hizi bundles zetu kweli, mtu utumie net, kwenye smart tv?hapo ukute huyo mtu yupo Itenka huko?!!!jamani,!!!
Siku ukitaka kuoa uje uombe ushauri hapa JF ukiomba upatiwe wasifu wa mwanamke unayetaka kumuoa ili wanaomfahamu wakushauriNaweza nikawa nna hiyo hela na nikauziwa kitu kisicho bora,lengo la kuuliza ushauri hapa ni kununua kitu kilicho bora kwa thamani halisi ya pesa
Nikwel uko ulaya intanet kwao ni bure na speed Yao nikubwa unaweza Ku download movie ya masaa mawili Kwa dakika 3Hivi haya huwa mnayaandika na nyie mkiwa nchini TZ, kweli au mko Ulaya??kwa hizi bundles zetu kweli, mtu utumie net, kwenye smart tv?hapo ukute huyo mtu yupo Itenka huko?!!!jamani,!!!